Naachana na mke wangu rasmi

Naachana na mke wangu rasmi

Wakati mwingine nahisi kuna wanawake wanapenda kuchapwa makofi. Sasa wa hivi unaishi nae vipi, anyway kila mtu amepewa mzigo kutokana na uwezo wake wa kubeba.
 
Utakuwa ulikosea toka mwanzo.Ulimpa nafasi ya kukutawala na hukuwa ukisimama kama mwanaume mwenye sauti katika familia yake ndo mana anafanya anavyojiskia.
Cha msingi usimuache ila rudisha uwanaume wako katika ndoa na kuwa mkali hasa katika mambo ya kijinga anayoyafanya kwako.Akiona hivo ataogopa na kubadilika au atachagua kuondoka kama anaona yatamshinda.
Simamia uanaume wako mana wewe ndo kichwa cha familia.Ukishakosea ukampa mwanamke akutawale madhara yake ndo hayo
 
Unampenda sana mpk anajua kua kwake amekuweka kiganjani!

Yeye ndo kila kila kitu na wewe kila asemacho hua unafuatisha!
Onesha uanamme wako kaka!

Wanawake sometimes tunajisahau haswa tukiependwaa

Mpe suspension kwanza aende kwao kama miezi miwili hv uone asipojirudi huyoo kongowele!

Means kuna kidume kinampa jeuri!

Penye miti hakuna wajenzi looohh!!!
Mwanaume ukizidi kuwa mpole hadi mjinga napo ni shida. Hana maamuzi kabisa Kwa mkewe.. mke anamtawala hadi basi na ashajua mume hafurukuti

Kanitilia huruma eti "nilipika mchuzi nikazidisha chumvi, akakasirika". Anamsaidia kazi mkewe, ila ndo bahati mbaya. Sio kwa hilo gubu jamani la mwanamke mwenzetu khaaa
 
Mwanaume ukizidi kuwa mpole hadi mjinga napo ni shida. Hana maamuzi kabisa Kwa mkewe.. mke anamtawala hadi basi na ashajua mume hafurukuti

Kanitilia huruma eti "nilipika mchuzi nikazidisha chumvi, akakasirika". Anamsaidia kazi mkewe, ila ndo bahati mbaya. Sio kwa hilo gubu jamani la mwanamke mwenzetu khaaa
yaani kama kaka angu namtia vibao kwanza huyu kaka!

yaonyesha huyu mke ni jeuri au limbwata linafanya kazi ipasavyoo!!
hvyo huyu Mme anapaswa kumrudia Mungu haraka maana akili ya kawaida tu hv hakuna wanaume wa hvyoo!!
 
Wakati mwingine nahisi kuna wanawake wanapenda kuchapwa makofi. Sasa wa hivi unaishi nae vipi, anyway kila mtu amepewa mzigo kutokana na uwezo wake wa kubeba.
Kweli kuna watu bila "kaudikteta" hawaendi kabisa
 
Japo ni ngumu kaa tafakari kisha chukua maamuzi magumu hiyo tabia yake sio nzuri atakuja kukudharaulisha mbele ya ndugu au rafiki na usitumie nguvu sana kuishi na mwanamke jeuri
 
Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa

Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea

Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi

Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha

Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa

Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
Ungemuacha alafu ndio uje kutuambia ningekuona mwanaume ila hiyo ni oama unatuomba ushauri. Ila liache tu lijinga hlo lirudi kwao
 
yaani kama kaka angu namtia vibao kwanza huyu kaka!

yaonyesha huyu mke ni jeuri au limbwata linafanya kazi ipasavyoo!!
hvyo huyu Mme anapaswa kumrudia Mungu haraka maana akili ya kawaida tu hv hakuna wanaume wa hvyoo!!
Hahaha mtu wa hivi unadhani hata ukimpiga kofi atakuelewa. Unamuacha hivyo hivyo, siku yakimfika kooni utashangaa mabanzi atakayopata huyo mke, kama sio na kutimuliwa juu. Kuna watu ni vipofu wa mapenzi khaaq
 
Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
Ulimpa nafasi ya kukusoma akayajua mapungufu yako, sasa anayatumia kama silaha ya kukiadhibu, anajua kuwa akinuna tu mzee lazima umlambe miguu, pole sana, jifunze kuishi kama mwanaume, vinginevyo hata ukimuacha huyu ukipata mwingine hali itakuwa hiyo hiyo. Sisi Wanawake tuna kasumba ya "kutikisa kiberiti kama kimejaa" kama kimepwaya utaisoma namba.
 
Hahaha mtu wa hivi unadhani hata ukimpiga kofi atakuelewa. Unamuacha hivyo hivyo, siku yakimfika kooni utashangaa mabanzi atakayopata huyo mke, kama sio na kutimuliwa juu. Kuna watu ni vipofu wa mapenzi khaaq
mi rafiki yangu mmoja alitishia nyau kama hvyo mkewe!
akajidai naondoka akamtafutia na gari ya kukodi apakie kila kitu na akalipia yule bi Dada akajifanya napeleka nguo tu kwanza

basi jioni mke huyo kajirudisha anaulizwa anajibu eti pakulala kwao Hamna!
kiranga komoo!!
mwanamke akitaka kuondoka km huyoo muache tu mana zipo sababu za msingi kweli labda ndi aondoke Ila huo upuuzi!
 
mi rafiki yangu mmoja alitishia nyau kama hvyo mkewe!
akajidai naondoka akamtafutia na gari ya kukodi apakie kila kitu na akalipia yule bi Dada akajifanya napeleka nguo tu kwanza

basi jioni mke huyo kajirudisha anaulizwa anajibu eti pakulala kwao Hamna!
kiranga komoo!!
mwanamke akitaka kuondoka km huyoo muache tu mana zipo sababu za msingi kweli labda ndi aondoke Ila huo upuuzi!
Hahaha tatizo mwanaume huyu ana "ubavu" wa kufanya hivyo? Kuna wanaume huthubutu kuwatishia nyau, maana unajua ukizingua tu imekula kwako. Mleta thread sijuiiii. ....
 
Huyo kumuacha sio njia sahihi, sana sana atajiona mshindi. So chakufanya wewe mpotezee jifanye kama humuoni na endelea na maisha yako. Kama una Maid home itakua vizuri zaidi kwakua kupika, kufua na matumizi ya home muache ayasimamie.
 
Hahaha tatizo mwanaume huyu ana "ubavu" wa kufanya hivyo? Kuna wanaume huthubutu kuwatishia nyau, maana unajua ukizingua tu imekula kwako. Mleta thread sijuiiii. ....
hhhaaahha!!yyaaani kaniudhi mwanaume kweli anakua laini laini Hv?
apunguze uzezeta raha ya kidume kiwe na sauti bwana alllaàah!!
 
Kesho usije na uzi kuwa unatafuta mchumba huyo ukimwacha....
 
Back
Top Bottom