Wakubwa wenzangu habarini za weeekend kwangu mimi weekend yangu haiko powaa kabisaa
Mke wangu ni mzuri ana hofu ya mungu ana kazi pia ananipenda ila huwa ana tabia ya kununa hovyo yaani hataki kukosolewa yaani kila nikimkosoa tutakaa siku tatu bila kuongea akiwa kanuna yaani lazma nimuombe msamaha hata kama kanikosea
Pia huwa ana tabia ya kunijaribu sanaa kama kuna kipindi nilimkuta anaongea na mtu usiku nikamwambia SIKUAMINI nakumbuka usiku ule ule alichukua begi lake akaondoka yaaani ndugu zangu nilifikilia sanaa nilipoksea sikupaonaa ila sikukata tamaa nikzidi kumwomba arudi home niliomba msamaha sanaa kisha akakuali akarudi
Kipindi kingine nilipika viazi na nyama nikazidisha mchuzi sikuamini macho yangu yaaani mamaa alikasilika sanaaa akakataa kula akaondoka kwa hasiraa kwenda kulala kwa dadaake kule pia nilitumia nguvu kubwa kumrudisha
Sasa hii ya sasa ndo imenikatisha tamaa yaani niko kikazi tanga mke wangu kuwa anapiga simu mda wote akidai kanimis nikamwambia ntarudi alhamis but nilipata emergrncy mke akakasirika sanaaa huku akisistiza simthamini pia akidai tuachene tuu sasa jana ndio nilirudi home akanipokea vizuri tuu nikamwomba msamaha kwa kumpa feki promis akasema kanismehe kumbe ana yake moyoni
alikataa kuongea na mimi tangu jana bila mimi kujua sababu hadi asubuhi namuaga naenda kazini kumalizia kipolo cha kazi akakasilika zaidi akaondoka pia kazini kwake bila hata kuniaga kitendo kile kimenishangaza sanaaa
Sasa ntaka nifanye mmamuzi magumu naona antaka ajifanye mwanamme ndani ya nyumba ntaka nimpe taraka naombeni ushauri
Bro pole xn
Mm naamn had mtu mzma anapokuja mbele za watu kusema ya moyon ujue yamefika pabaya na zaid ya yote mm nahis kuna mambo makubwa anakute dea ila kwa kuwa unatunza heshima yako tuu umesema baadhi
Bro kama hujazaa nae plz achana nae
Na kama umezaa nae hebu mkalishe chin mwambie nn ambacho unataka na nn ambacho hukitak na mpe nafas aseme ya moyon
Zen muweke makubaliano yenu
La sivyo hebu piga chin huyo sio demu bal n demu wa masela
Ili usirudie makosa ya nyuma kama ukimpata mwanamke unaempenda jitahd kumpenda 50% na 50% mwachie yy akupende alafu mweleze live umpendavyo ili usiumie tena
Zaid ya hayo juu kabla hujaoa tena naomba tumia mbinu hii"Shake well b4 use"
Yaan mega kisela kwanza huku unampeleleza tabia yake
Zen ukieidhika funga nae ndoa
Mapenz ya muuza chips na mwanamke waachie wauza chips bro
Sijaoa ila nashukuru mnao toa changamoto za ndan ya ndoa