Zekidon
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,903
- 569
Ubinadamu kazi wakuu,
Vitendo ninavyopata toka kwa ninaowasaidia kutoka ni vya kukatisha tamaa kwa kweli.
Huyu ni mtu wa nne sasa; anahitaji ajira unampa shavu anakua na life lake lakini akishatoa matongotongo tu anaanza visa vyake.Unaonekana mjinga na mshamba tu.
Yeye ndio anajua kila kitu anajifanya kama hakujui vile kumbe wewe ndio umempa hiyo nafasi.Sasa hata nikiona nafasi mahali bora nikae kimya tu maana napata dharau toka wema wangu.
Wakuu binadamu watu hatari mno,nimekuja jua maana kama ingekua ni huyu tu nisingekua na wazo tofauti ila huyu ni wa nne kwahiyo hii ndio tabia halisi ta binadamu kwamba akishatoka anasahau kua kuna jamaa walihenyeka kumpa support mpaka kufikia hapo alipo.
Watu wabaya
Vitendo ninavyopata toka kwa ninaowasaidia kutoka ni vya kukatisha tamaa kwa kweli.
Huyu ni mtu wa nne sasa; anahitaji ajira unampa shavu anakua na life lake lakini akishatoa matongotongo tu anaanza visa vyake.Unaonekana mjinga na mshamba tu.
Yeye ndio anajua kila kitu anajifanya kama hakujui vile kumbe wewe ndio umempa hiyo nafasi.Sasa hata nikiona nafasi mahali bora nikae kimya tu maana napata dharau toka wema wangu.
Wakuu binadamu watu hatari mno,nimekuja jua maana kama ingekua ni huyu tu nisingekua na wazo tofauti ila huyu ni wa nne kwahiyo hii ndio tabia halisi ta binadamu kwamba akishatoka anasahau kua kuna jamaa walihenyeka kumpa support mpaka kufikia hapo alipo.
Watu wabaya