Naacha kazi serikalini

Hakika litakalo tokea ntakuja jf kuwaeleza nlipofkia najua inaweza kuwa chachu kwa wengine napenda vijana wenzangu tuwe free mind baada ya mwaka ntakuaja na mrejesho
 
Ok nmekusoma mkuu
 
Da ivi kweli hawa wasingechukua maamuzi magumu wangefika hadi kuitwa president o Prime Minister nk
 
mkuu maisha yako hivi hata ikitokea ukafukuzwa kazi leo utaishi japo kwa shida ila baada ya muda utapata mbinu bora na unaweza pata dili ama kazi nzuri mpaka ukajiuliza ulikuwa wapi siku zote unang'ang'ania ppasipo eleweka.
Ni hivi mkuu ka ushajipanga na unambinu ya kutoboa katika maisha songa mbele usirudi nyuma nasema haya kwa sababu kuu mbili maslahi umekiri kuwa hayatoshelezi hata ukijibana vipi pili ni kuwa si kazi unayoipenda, kwahiyo inaweza kukuletea hata matatizo mbeleni. kwahiyo mkuu we endelea na mikakaati yako, pia nikupe pole kwa yote ulopitia najua adha ya kipato kidogo na hata kazi ya pesa
 
Naam, mkuu. Hii ni kama vile wengi wetu huwa tunafikiri kuwa kuna mtu mmoja tu duniani ambaye tulipangiwa kuoa ama kuolewa naye. Ukweli ni kwamba kuna mabilioni ya wanawake/wanaume huko nje ambao wangefaa tu kama huyo uliye naye ama wangekuwa bora kuliko uliye nane.
mkuu maisha yako hivi hata ikitokea ukafukuzwa kazi leo utaishi japo kwa shida ila baada ya muda utapata mbinu bora na unaweza pata dili ama kazi nzuri mpaka ukajiuliza ulikuwa wapi siku zote unang'ang'ania ppasipo eleweka.
 
Kidogo nna experience ya ujasiria mali coz hata wakati naenda kweny ajiara nlitoka kwenye biashara ambayo nlishaiona inaangalau afadhali ya Maisha so nataka nirudi kulekule
Kwani unashindwa kuendelea na ujasiriamali hali ukiwa kazini? Tumia watu wape ajira. Fanya ujasiriamali huku ukiendelea na ajira yako. Fahamu kwamba sasa hivi kila kona imekaza kwenye ujasiriamali ndo usiseme kabisa.
 

Mimi nashauri uache, kwa uandishi wako huu, na ukichangia kuwa kazi yenyewe ulienda basi tu kwa kukosa "alternative" ni bora ukaondoka kuliko kutuharibia watoto wetu.
 
Anzisha jambo unalotaka kulifanya baada ya kuacha kazi, ili ukiacha kazi upate kazi ya kufanya vinginevyo ukiacha kazi utakumbana na hali ngumu sana
 
Naam, mkuu. Hii ni kama vile wengi wetu huwa tunafikiri kuwa kuna mtu mmoja tu duniani ambaye tulipangiwa kuoa ama kuolewa naye. Ukweli ni kwamba kuna mabilioni ya wanawake/wanaume huko nje ambao wangefaa tu kama huyo uliyenaye.
kweli mkuu, ukiona mtu mzima anakiri kuwa hali ni ngumu na anataka kimbia usidhani kuwa ni mwepesi ni kumtia moyo, but lazima ajue namna ya kupgana huko aendako ili asije dondokea tena huko
 
Mimi nashauri uache, kwa uandishi wako huu, na ukichangia kuwa kazi yenyewe ulienda basi tu kwa kukosa "alternative" ni bora ukaondoka kuliko kutuharibia watoto wetu.
Du umetisha kwa hii comment ubarikiwe kwa kuchangia
 
Ila ingependeza ukarekebisha wapi kweny uandishi nmekosea nammi nkajifunza kutoka kwako
Mimi nashauri uache, kwa uandishi wako huu, na ukichangia kuwa kazi yenyewe ulienda basi tu kwa kukosa "alternative" ni bora ukaondoka kuliko kutuharibia watoto wetu.
 
Karibia nusu ya wanaoacha kazi sababu ni hii. So mnaotarajia kuajiriwa, kuweni makini na kitu kinaitwa MKOPO WA BENKI.
Mtu anachukua take home 470000, na anakopa 10m na kinunua uwanja au kupeleka sehemu yoyote ambayo haimuingizii kipato chochote, na mwisho wa siku anakuja kusema kazi ya ualimu haimsaidii, kumbe pupa imechangia, na kujikita anapata 250000 tu kwa mwezi au chini ya hapo kwa sababu ya kulipa deni.
 

True.

Kuna umuhimu wa kuelimishana juu ya hili jambo.
 
Mkuu, naheshimu mawazo yako na uamuzi wako ila hapa ulipo sasa maamuzi sio yako peke yako ni pamoja na familia. Unajua unapokuwa mwenyewe ni vyepesi kufanya maamuzi magumu ila ukiwa na familia unatulia kidogo.
Mie nashauri kwamba kabla haujaondoka hakikisha una salio la pembeni ambalo hata kama usipoingiza chochote ndani ya miezi mitatu basi familia yako itaishi bila shida. Yaani maandalizi ya kuishi bila kutegemea mwisho wa mwezi. Mie niliachana na kazi ya ualimu mwaka 2011 nilihangaika sana ila kwakuwa nilikuwa bado single nilimudu kidogo. Na kama ningechelewa kufanya maamuzi basi hadi leo ningekuwa mwalimu huko Ukerewe. Angalia familia kisha fanya maamuzi na hautajuta
 
Da ivi kweli hawa wasingechukua maamuzi magumu wangefika hadi kuitwa president o Prime Minister nk
Mkuu hao hawakuchukua risk yoyote, kwasababu mfanyakazi anaruhusiwq kugombea huku bado akiwq kwenye ajira, na pindi atakapo shindwa kwenyr siasa, basi mlango wa kurudi kwenye ajira unakuwa wazi.

Na siasa inalipa kuliko kuajiriwa, kwahiyo mtu akiacha kazi na kuhamia kwenye siasa na akafanikiwa, basi huyo kalamba dume.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…