Kazana tu, hakuna mkate mgumu kwa chai.Kuomba msamaha kazi sana jamani....
tunamuongelea huyo anaetoa bure sio wa kwenye avatarSasa si afadhali hio hela ya kununulia ukaifanyia mengine uwe unaniita hata mimi siku ukijisikia bure kabisa?! Kama wa hivyo kwenye avatar i will be standby!
HahahhaWivu sina ila roho inauma aiseee ndio tulipofikia hapa....![]()
Aiseesafi sana baby girl wanaume wanapenda kusikia habari nzuri tu kwa upande wao
kuwa na msimamo na papuchi si yako? inawahusu? mtu hakuoi tena anakuzinisha mahotelini huko wala kwake hakupeleki halafu umpe bure eti unaaangalia future ! future si aende kwenu
Unataka kuvunjiwa yai? Sema tu hatukawiziNataka nianze na wewe kwani yako inathamani ya bei gani kwa maana nikitaka kutumia line zote mbili?
kaa nayo iote KUTU zipo nyingi za burekuliko utoe bure ni bora usitoe kabisa
Pombe+sigara = 0 (yaani hakuna mapenzi)Kuna mdada bwana ni mke wa mtu yule alieniachia mtoto akaenda kugegedwa. Nilimuambia mimi hayo mambo sitaki akaachana na yule jamaa maana baada ya kumdadisi kumbe jamaa alikuwa hampi hata mia pia ni majirani ingeleta noma mimi nikajua ametulia bana kumbe bado analiendeleza kapata bwana mwingine sijui wapi eti anadai anataka kumuoa.
Nimemuuliza vipi jamaa anakulea lea mjini akadai ooh sijawai kumuomba hela na yeye hajanipa sema alinipa elfu kumi ya bajaji kurudi nyumbani siku moja. Nikamuuliza sasa mahusiano yenu yapoje akadai anampenda jamaa na yeye jamaa anampenda sana. Nikamuambia haya bwana mjini hapa, mume wake nae ana michepuko yani katika ndoa yao ipo kwenye usajili ila wanachokifanya wanajua wenyewe.
Sasa tujiulize wanawake wenzangu umeolewa una watoto tena wadogo kabisa sawa mume kawa hasomeki na wewe na uzuri wako unaanza kukutembeza bila malipo eti ni upendo kuna mwanaume atakupenda mke wa mtu kweli?
Tena anakugegeda hotelini huko umeacha vichanga nyumbani unakunywa pombe unavuta hadi sigara? Utakuwa una thamani yoyote kweli hata kama mume ni mbaya usijitese na dunia maana utamaliza wanaume wote ni walewale yaani wanaume wote wanafanana mwanzo mwisho. Bora ukae benchi kama kina sisi maana ni kujitesa tu.
Ana pepoKuna mdada bwana ni mke wa mtu yule alieniachia mtoto akaenda kugegedwa. Nilimuambia mimi hayo mambo sitaki akaachana na yule jamaa maana baada ya kumdadisi kumbe jamaa alikuwa hampi hata mia pia ni majirani ingeleta noma mimi nikajua ametulia bana kumbe bado analiendeleza kapata bwana mwingine sijui wapi eti anadai anataka kumuoa.
Nimemuuliza vipi jamaa anakulea lea mjini akadai ooh sijawai kumuomba hela na yeye hajanipa sema alinipa elfu kumi ya bajaji kurudi nyumbani siku moja. Nikamuuliza sasa mahusiano yenu yapoje akadai anampenda jamaa na yeye jamaa anampenda sana. Nikamuambia haya bwana mjini hapa, mume wake nae ana michepuko yani katika ndoa yao ipo kwenye usajili ila wanachokifanya wanajua wenyewe.
Sasa tujiulize wanawake wenzangu umeolewa una watoto tena wadogo kabisa sawa mume kawa hasomeki na wewe na uzuri wako unaanza kukutembeza bila malipo eti ni upendo kuna mwanaume atakupenda mke wa mtu kweli?
Tena anakugegeda hotelini huko umeacha vichanga nyumbani unakunywa pombe unavuta hadi sigara? Utakuwa una thamani yoyote kweli hata kama mume ni mbaya usijitese na dunia maana utamaliza wanaume wote ni walewale yaani wanaume wote wanafanana mwanzo mwisho. Bora ukae benchi kama kina sisi maana ni kujitesa tu.
FOR SALE au UNAMAANISHA NINI?,mwenzio anaenda kufanya mapenzi,hata iwe hotelini,kichakani,chooni yote ni mapenzi sababu ana hamu na ile kitu,sasa wewe unasema mambo ya hela,wenzio wengine huwalipa wanaume kwa shughuli hiyo.Kuna mdada bwana ni mke wa mtu yule alieniachia mtoto akaenda kugegedwa. Nilimuambia mimi hayo mambo sitaki akaachana na yule jamaa maana baada ya kumdadisi kumbe jamaa alikuwa hampi hata mia pia ni majirani ingeleta noma mimi nikajua ametulia bana kumbe bado analiendeleza kapata bwana mwingine sijui wapi eti anadai anataka kumuoa.
Nimemuuliza vipi jamaa anakulea lea mjini akadai ooh sijawai kumuomba hela na yeye hajanipa sema alinipa elfu kumi ya bajaji kurudi nyumbani siku moja. Nikamuuliza sasa mahusiano yenu yapoje akadai anampenda jamaa na yeye jamaa anampenda sana. Nikamuambia haya bwana mjini hapa, mume wake nae ana michepuko yani katika ndoa yao ipo kwenye usajili ila wanachokifanya wanajua wenyewe.
Sasa tujiulize wanawake wenzangu umeolewa una watoto tena wadogo kabisa sawa mume kawa hasomeki na wewe na uzuri wako unaanza kukutembeza bila malipo eti ni upendo kuna mwanaume atakupenda mke wa mtu kweli?
Tena anakugegeda hotelini huko umeacha vichanga nyumbani unakunywa pombe unavuta hadi sigara? Utakuwa una thamani yoyote kweli hata kama mume ni mbaya usijitese na dunia maana utamaliza wanaume wote ni walewale yaani wanaume wote wanafanana mwanzo mwisho. Bora ukae benchi kama kina sisi maana ni kujitesa tu.
Venossah umeanza uchokozi?Kuliko kutoa bure bora kioze.
Usije pata usongo wa Mawazo...kuliko utoe bure ni bora usitoe kabisa

Ni kweli mkuu..Venossah umeanza uchokozi?
Daah yaani umenikatisha tamaa mamii,maana nimefulia kwa sasa na majamboz nayatamani,hakuna hata mchezo wa kirafiki?Ni kweli mkuu..
Bure sitoi
Kwani raha anasikia mgegedaji tu?? Je mgegedwaji hasikii raha??? Kama raha wote wanapata iweje mgegedaji amlipe mgegedwaji???kuliko utoe bure ni bora usitoe kabisa
Mechi ya kirafiki hakuna mkuu, we katafte hela tu.Daah yaani umenikatisha tamaa mamii,maana nimefulia kwa sasa na majamboz nayatamani,hakuna hata mchezo wa kirafiki?