Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,062
- 18,031
Laki Tatu Tu!! Mpe basi.KAMA ANATAKA FLAT TV SI ANGESEMA TU KWANI BEI GANI ?
Laki Tatu Tu!! Mpe basi.KAMA ANATAKA FLAT TV SI ANGESEMA TU KWANI BEI GANI ?
Bora uuzeni ufala basi unazini bure bure tu jamani? mi siezi kuuza wala kutoa bure nimekwama kabisa kujiongeza eti
Mkuu upo?Hamna kitu kibaya kama kukomoana, mwishoni watoto ndo wanaoteseka bwana
Siyo vizuri lakiniBora uuze
hivi ww uko bench kweli, tafadhali acha kukufuru !!kuna mdada bwana ni mke wa mtu yuleee alieniachia mtoto akaenda kugegedwa!
nilimuambia mimi hayo mambo sitaki akaachana na yule jamaa maana baada ya kumdadisi kumbe jamaa alikuwa hampi hata mia pia ni majirani ingeleta noma .
mimi nikajua ametulia bna kumbe baado analiendeleza kapata bwana mwingine sijui wapi eti anadai anataka kumuoa.nimemuuliza vepe jamaa anakulea lea mjini akadai ooh sijawai kumuomba hela na yeye hajanipa sema alinipa elf kumi ya bajaji kurudi nyumbani siku moja.nikamuuliza sasa mahusiano yenu yapoje akadai anampenda jamaa na yeye jamaa anampenda sana. nikamuambia aya bwana mjini hapa .
mume wake nae ana michepuko yaani katika ndoa yao ipo kwenye usajili ila wanachokifanya wanajua wenyewe.
sasa tujiulize wanawake wenzangu umeolewa una watoto tena wadogo kabisa sawa mume kawa hasomeki ,na wewe na uzuri wako unaanza kukutembeza bila malipo eti ni upendo .kuna mwanaume atakupenda mke wa mtu kweli? tena anakugegeda hotelini huko umeacha vichanga nyumbani unakunywa pombe unavuta hadi sigara? utakuwa una thamani yoyote kweli .
hata kama mume ni mbaya usijitese na dunia maana utamaliza wanaume wote ni walewale yaani wanaume wote wanafanana mwanzo mwisho. bora ukae benchi kama kina sisi maana ni kujitesa tu.
Kitaoza hicho bora kitumike tukuliko utoe bure ni bora usitoe kabisa
Nataka nianze na wewe kwani yako inathamani ya bei gani kwa maana nikitaka kutumia line zote mbili?Ng.e.se. kabisa wewe. Upewe bure kwa lipi? Usione vyaelea!!! Nenda kwa maza ndio utapata bure. Km wataka bure lwa nn ulipie huku unalia? Subiria vya bure ujinomeee
atume picha zake niridhike nisijekuuziwa mbuzi kwenye gunia bureLaki Tatu Tu!! Mpe basi.
Basi utakua mtawa wa katolikisiuzi wala sitoi bure
Nilichokielewa hapa kuna wanawake wawili, mmoja anapenda kugegedwa iwe kwa pesa ama bure yeye shida yake ni mtalimbo tu, huyu wa pili yeye kugegedwa ni pesa na hasa akiwa mzuri na pesa lazima iwe kubwa. Nani ibilisi na nani shetani?
cc Mr Natafutasiuzi wala sitoi bure
siuzi wala sitoi bure
You are morally corrupted...!kuliko utoe bure ni bora usitoe kabisa
Hiyo sambusa yako si itachacha mkuu???? Au bado upo kwenye age ya 19+kuliko utoe bure ni bora usitoe kabisa