FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,417
- Thread starter
- #21
Naombeni kufanya meeting na nyie nje ya JF ana kwa ana tuliweke hili swala sawa sawia .....
sasa kutoka 80,000 hadi hiyo ni asilimia ngapi wakuu?Nimsaidie..kima cha chini 315,000
villa patafaa mpwa?Naombeni kufanya meeting na nyie nje ya JF ana kwa ana tuliweke hili swala sawa sawia .....
sasa kutoka 80,000 hadi hiyo ni asilimia ngapi wakuu?
Jamani samahanini kidogo, hivi ni maneno gani alisema JK? Sikuwa karibu na vyombo vya habari.
mamaangu mke wa rais,Geoff ate you serious ?????
sasa kutoka 80,000 hadi hiyo ni asilimia ngapi wakuu?
sina kalkuleta mkuu,Ni kutoka 104,000 hadi 315,000 asilimia tafuta mwenyewe mbona umezing'angania huna calculator ?
Kama alijifanya kutishia nasi tukafyata mkia basi ka win.
Pengine maamndamano yetu yasingechagua mtaa na hiyo WEF conference ingekula kwake.
sina kalkuleta mkuu,
naomba nisaidie na ningependa ujibu wewe
villa patafaa mpwa?
mimi mshahara wangu ni mdogo sana ndugu,na nina maisha magumu sanaKiongozi GEFF... Naomba PATA break FAST kwanza Tafadhali.. Je hiyo 80,000/= wewe kama wewe unaitumia kwa masaa mangapi?.. Mwenzako anatakiwa aitumie kwa siku 30. naomba USIKWAZIKE PLS.
Sina hamu ya kupost ,sina hamu ya kazi ...kichwa hakifanyi kazi kabisa ..
May .....Jun,July August,Sept....October ......October ...
Hapa sijui anawaza nini??
![]()
Nimsaidie..kima cha chini 315,000