daah nimekuwa down mno kwa kuona hii pic, just more info please, huyu inaweza kuwa ni kiumbe wa miezi mingapi? maana ni binadamu kabisa aliyekamilika na natafakari na kuelewa kuwa watu wanaposema mtoto akiwa tumboni kwa mama yake anasikia na kuelewa kama unaongea nae na anaumia na kufurahi yaania anakuwa na hisia zote kama binadamu maana hapo ni full binadamu