Mzungu Omba Omba ndani ya Dar

Siku nyingine ukikosa nauli usitembee hadi Mwenge, kuna umbali wa kutosha. Subiri daladala ifike, piga debe kuita abiria, halafu dandia mlangoni, konda atajua wewe ni 'staff' !

Du mkuu unambinu kali.Lakini hiyo style itakua ngumu kwa mabitoz.
 
Mkuu una uhakika huyo ni mzungu au ni zeruzeru? Mimi nilikutana na Zeruzeru akaniomba msaada jana. Asije akawa ni huyo huyo!!
 

Watu wengine Bwana, sasa kama ulitoa kwa dhati na kwa ajili ya kutaka thawabu hukupaswa kujishebedua na kuleta thread hama hii
 
Hahaaa, usiogope kaka; maisha ndivyo yalivyo, na shida huja siku ya shida!!!!.....Kuna jamaa yangu ni Daktari na mjasiriamali wa kupigiwa mfano, sku tulikuwa sehem tukiongea, mara akaja bwana mdogo mmoja very rough akaomba pesa jamaa akazama kwenye mfuko wa shati na kumpa noti; alivyoondoka Jamaa akanipa mkasa; "Umemwona huyo bwana aliyetoka hapa?.....huwezi amini nilishawahi kumwomba shilingi miambili!" akiwa ombaomba hvohvo jamaa alimwomba amsaidie miambili na jmaa alimpa bila kinyongo! Ni stori ndefu, ila nachotaka kusema ni kwamba; haya maisha kibongobongo ni kizungumkuti!! Mbaya zaidi mjini ni vigumu kumjua mwenye shida ya kweli na msanii.....TUSAIDIANE KWA MOYO MKUNJUFU WAKUU!!
 
Huyu Jamaa alikuwa anafanya Research. Kwa kukuomba wewe alikuwa anakusanya DATA kuhusu Umaskini Tanzania. Je ni kweli mnaishi chini ya Dola moja kwa siku? Baadaye ataAnalyis atapata Findings zake. Hongera kwa kuwa part ya Research yake.
 
Mkuu hii habari ya kweli??!!

Mkuu chapaa sikufichi ni 100% true nikaisi ni tapeli mkubwa ndo hapo nikasema ngoja nishee na wa dada wetu hao wanaona wazungu ni wanahela mbaya na kujipendekeza kwao wale maisha kama yule role mode wao wa u-turn
 

atakuwa aliletwa na symbion kuja kusoma mita ya umeme watakaouzia tanzania sasa mpaka sasa hawajauza hata unit moja! Ungempelekea mh ngereja mwambie wawekezaji wako hawa na mama clinton
 
wapo wengi tu wall street
 
atakuwa aliletwa na symbion kuja kusoma mita ya umeme watakaouzia tanzania sasa mpaka sasa hawajauza hata unit moja! Ungempelekea mh ngereja mwambie wawekezaji wako hawa na mama clinton

Mkuu umenifurahisha sana.
 

Mkuu ndo huyo huyo ni mtu mzima flani hivi mrefu kiasi,swali la kwanza ndio hilo hilo kwamba unajua kingereza? au mi nahisi anafanya reasearch kwamba watanzaia wangapi kwa random space wanajua kingereza,story yake ndo hiyo hiyo ana matatizo mie aliniambia acoount yake ipo blocked na leo j5 ndo dada yake atakuwa ashamtumia hela lakin mpaka sasa inaonekana ajapata,kuna kitu anatafuta tu
 

Mweh! Kumbe ndio hivyo naanza kuwachukia aiseee
 

Mweh! Kumbe ndio hivyo naanza kuwachukia aiseee
 


 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…