Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
Sasa sijui huyu jamaa ni tapeli au ni mkweli. Anasema alikuja Kenya november mwaka jana kukutana na huyo mdada wa Kenya
Eti wamespend nae pesa sana hadi zimekata na mdada nae amemkimbia baada ya kufulia.
Anaomba msaada ili aweze kurudi kwao Ireland.
View: https://youtu.be/Lp6AXxe6uTE?si=gvBs22UEXW_6QFkX
Eti wamespend nae pesa sana hadi zimekata na mdada nae amemkimbia baada ya kufulia.
Anaomba msaada ili aweze kurudi kwao Ireland.
View: https://youtu.be/Lp6AXxe6uTE?si=gvBs22UEXW_6QFkX