Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,500
Mimi nitoe. Hamna siku niliyowahi kulala mbele na rambi rambi mpk niitwe magumashiWatanzania wote maana walizoea kuishi kimagumashi.
Mimi nitoe. Hamna siku niliyowahi kulala mbele na rambi rambi mpk niitwe magumashiWatanzania wote maana walizoea kuishi kimagumashi.
Kuna ukweli flani . Mkuu unafikiri tatizo ni nini hasa?maana hata zenye demokrasi hazisongi mbele kwa Spidi Nzuri.Afrika kuna nchi ambazo hazina hiyo demokrasia, akisemacho rais ndicho kinatendeka lakini bado na wao tunaona wapo nyuma.
Pia kunazo nchi zenye demokrasia ya maigizo isiyokua ya kweli, lakini pia na wao wapo nyuma. Sasa unaposema nchi za Afrika zitaendelea tu kwa kunyimwa demokrasia, hujatuonyesha mfano wa nchi moja ya Kiafrika ambayo haina demokrasia lakini ipo mbele kimaendeleo.