Chisamba
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 1,521
- 788
Mwambie aweke wazi hatua zote alizopitia kijana wake tangu aanze first year!
Kuna kipindi baadhi ya kozi wanakuwa nyumbani ambao hawaku join second semester moja kwa moja.
Hawa hurudi baadaye wakati wengine wakiwa likizo ya July-Oct.
Hichi ndicho kipindi ambacho nao husoma. Hivyo hutakiwa kuendelea na second year hapo hapo hivyo hupewa likizo ya wiki 1
kwan aliyeanzisha hchoo chuoo badoo yupoo,mbna ratba zenu za kidudu mutu sanah nyie