mchapafito
JF-Expert Member
- Oct 16, 2013
- 607
- 302
Habari za asubuhi GT wa JF.
Kuna suala kuhusu hiki chuo mimi kama mzazi ninayesomesha kijana wangu pale MU nashindwa kuelewa...nina kijana wangu amemaliza mwaka wa kwanza wiki iliyopita....kituko kinakuja eti likizo wiki 1
i.e siku saba anaingia mwaka wa pili jumatatu ya wiki hii na inatakiwa afanye process zote za registration na ikumbukwe zote hizi zina involve money...sasa nashindwa kuelewa kama mzazi iweje nilipe ada pamoja na gharama zingine pasi kujua matoleo ya kijana angu.....Je chuo hakioni kama hakitutendei haki sisi kama wazazi....
Siombei hili but what if kuna mwanafunzi akadisco nao ndo washasema alipe ada tayari for 2nd year....je itarudishwa???...najua wadau wa elimu mpo humu na MU officials huwa mnapita huku.....tafadhali liangalieni hilo suala katika jicho la tatu
Kuna suala kuhusu hiki chuo mimi kama mzazi ninayesomesha kijana wangu pale MU nashindwa kuelewa...nina kijana wangu amemaliza mwaka wa kwanza wiki iliyopita....kituko kinakuja eti likizo wiki 1
i.e siku saba anaingia mwaka wa pili jumatatu ya wiki hii na inatakiwa afanye process zote za registration na ikumbukwe zote hizi zina involve money...sasa nashindwa kuelewa kama mzazi iweje nilipe ada pamoja na gharama zingine pasi kujua matoleo ya kijana angu.....Je chuo hakioni kama hakitutendei haki sisi kama wazazi....
Siombei hili but what if kuna mwanafunzi akadisco nao ndo washasema alipe ada tayari for 2nd year....je itarudishwa???...najua wadau wa elimu mpo humu na MU officials huwa mnapita huku.....tafadhali liangalieni hilo suala katika jicho la tatu