Mzumbe University hamjielewi, badilikeni

Mzumbe University hamjielewi, badilikeni

nilikuwa naheshimu mzumbe enzi ya IDM, sasa hivi daah! imebaki story
 
Hahaha nimeona tu jaziba ikiendelea nilitingwa kidogo kama kawaida sikuwepo kujibu hoja za mshinga kuhusu mzumbe kwanza na bado nimetingwa so nitakuwa kifupi kwa kiasi.
Mshinga mzumbe ni chuo cha uma Leo kesho na kuendelea kitakuwepo so unapoongea nadhani ungejikita zaidi katika suluhisho kuliko kurusha maneno makali kwangu na kwa wengine ambao kimsingi Sio waanzilishi wa mzumbe na Sio wamiliki wa mzumbe ila ni watu walio pita hapo kwa wakati Fulani.
Niliposema hili suala la idadi ya wanafunzi kuwa kubwa na kwamba ilichangiwa na maamuzi ya kisiasa sikumaanisha ni kwa mzumbe tu ila nikwa vyuo vyote hususani vya uma na katikakukabiliana na suala hili wakaja na huo mfumo ambao hakuna mwanafunzi anaupenda lakini kwa wakati huu ilikuwa lazima iwe hivyo kwani ukiweka wanafunzi wote wale pamoja hali itakuwa mbaya zaidi katika vikao mbali mbali na vc amezungumzia upanuzi wa chuo ili kumudu idadi ya wanafunzi na kuondoa hali hiyo.
Katika ugumu wa masomo mzumbe sikuwa nalinganisha na chuo chochote ila nilitumia nafasi hii kujibu hoja ambazo zimekuwa zikirushwa na
 
kila aliye mjinga atatukuza fedha kuwa ndio kila kitu.

mwelevu yeyote anatukuza hakili na maarifa.

hapa ndio tofauti yangu mimi na wewe.

mwenye akili amekufanya mtumwa wa fedha alafu yeye akajikita kuumiza ubongo na kutengeneza civilization kwa kila kitu kutumia maarifa na akili alafu mazao yoyote ya akili na maarifa ndio yanaleta fedha inayotukuzwa kwanza na watu wa aina yako. hata hiyo fedha ililetwa na akili na maarifa ya watu. bila maarifa ya watu leo hata hiyo fedha isingekuwepo kabisa.

ndio maana hata hao waliondelea kama marekani wanatafuta watu wenye akili kokote duniani wawasaidie kufanya lolote walitakalo na baada ya hapo fedha inakuja yenyewe.

ndio maana huwezi kusikia marekani inatafuta fedha kila mahali duniani, ni wajinga tu kama wewe na mkuu wa kaya mnaweza kuzunguka kila kona ya dunia kutafuta fedha kwa ujuha wenu. welevu watazunguka hata dunia nzima kutafuta maarifa ama wenye akili.

welevu wanasema kila kitu ni akili na maarifa.

kwa wajinga kila kitu ni fedha

umesahau risit namba ya maelezoo yako hayp
 
Unaanza mwaka wa pili matokeo hayajatoka?!na unasajiriwa?MZUMBE nadhan ndo chuo utumbo kuliko vyuo vyote vya umma!
 
Hiv ndo vyuo ambavyo huwa havina supp,carryover,wala disco.matokeo hayajatoka wfnz wote wamesajiriwa!ajab!
 
Tulia mzazi kwani Mzumbe ni chuo makini sana Tanzania, wewe fanya process zote then kila jambo litaenda vizuri na kama mwanao alikuwa anacheza kombelela chuo basi ajiandae kwa vilio pia.

Nasikia wahitimu wa MU wanaitwa "Maharage ya Mbeya" maana yanaiva mapema. Nadhani hawa kwa mwaka hawazidi siku 100 za kupata lecture darasani!
 
Mkuu, yani wewe miaka hii bado unamsinikiza mwanafunzi kufanya Registration? ungemwaacha mweyewewale wa ASK ME ungewashushua hapohapo, huwa wanakuwa wapole
 
Wadau wa MZUMBE tupo,,,Mzazi tambua kitu kiomja KWAMBA kila taasisi in utaratibu wake ulingana na mazingira,,Mzumbe pana ALMANAC ya chuo ambayo hutoa ratiba ya mwaka mzima ambapo ukiidownload leo utajua mwaka mzima matukio yakoje, utajua mwanako chuo kinafunga lini kinafungua lini, na End of class lectrures lini na utajua kuwa wiki hii mwanagu yupo preparation week kwa ajili ya mitihani.. Hii sio lazima mzazi uidownload ila Mwanafunzi mwenyewe akiitafta anaweza akauletea au kukueleza mapema... Mlaumu mwanao kwa kutokukupa taarifa mapema,, lakini kwa kawaida wengi huwa wanakaa wiki hata 2 na sijawahi ona wiki moja net tangu nifike mzumbe 2011..Nisieleze sana ila ukihitaji Almanac ingia Mzumbe University | Chuo Kikuu Mzumbe - Home utaipata....sante mzazi nakutakia majukumu mema ya kumsomesha mwanao chuo kikuu cha mzumbe
 
Tulia mzazi kwani Mzumbe ni chuo makini sana Tanzania, wewe fanya process zote then kila jambo litaenda vizuri na kama mwanao alikuwa anacheza kombelela chuo basi ajiandae kwa vilio pia.

Hakuna cha ubora kwenye suala kama hilo! Ukumbuke sasa hivi hata wanapokea mkopo wa serikali lazima matokeo yao yajulikane kama ana sup hapati boom mpaka asapue!! So ukisema mambo ya ubora hapo utakuwa unatetea ujinga!!!
 
Back
Top Bottom