MziziMkavu ukilewa una visa wewe!!!!!!!!!!!

MziziMkavu ukilewa una visa wewe!!!!!!!!!!!

tumblr_lejvisp13D1qc4ut3o1_500.jpg


Hapo tukiwa college, kushoto kabisa ni mimi watu8, halafu anayefuata ni MziziMkavu,halafu Bujibuji huyu alianza kuvaa makapelo tokea kitambo sana mwisho kabisa ni saudari
 
Last edited by a moderator:
Naona mtungi wa gesi na tikiti juu nadhani anatakiwa awe mwana mazingaobwe.
 
Ha ha ha!!! mpwa hata usijali nilikua nataka unifundishe utaalamu wa kusoma picha ujue....

Mpwa nimesema hayo kwa kuangalia miondoko na mavzai hahahhahaaaaaaaa I was just kidding Bhana dont take serious
 
Ahhhhhhhhhh watu8 kumbe we handsome hivyo loo afu tene bonge la sharo b haki ya nani vile pozi lako nimelipendaje?alahh chezeya watu 8 weweeeeeeee!
tumblr_lejvisp13D1qc4ut3o1_500.jpg


Hapo tukiwa college, kushoto kabisa ni mimi watu8, halafu anayefuata ni MziziMkavu,halafu Bujibuji huyu alianza kuvaa makapelo tokea kitambo sana mwisho kabisa ni saudari
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom