MziziMkavu ukilewa una visa wewe!!!!!!!!!!!

MziziMkavu ukilewa una visa wewe!!!!!!!!!!!

duh... huyu fundi kweli.. inawezekana akawa mtaalamu pia wa kulenga shabaha...
 
Ukita kuharibu pozi umwite kwa pembeni. . . Au FP awe anakatiza hapo kwa mapigo ya jioni. Shingo ikigeuka lazima apoteze balance
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
mwaJ achana na MziziMkavu!!!!
Tena vichochoro vyenye kona nyingi ndo barabara zake, hapo kakosea njia tu.
Ila mkute vichochoroni uone macontol yake.

Kwa jinsi unavyompa sifa Mzizi Mkavu! Nadhani anauwezo hata wa kuamuru mkufu ukasimama wima!
 
Last edited by a moderator:
hahaha...sasa hivi nimezeeka wanaovuma ni wengine best!!!

Ahhhhhhhhhh watu8 kumbe we handsome hivyo loo afu tene bonge la sharo b haki ya nani vile pozi lako nimelipendaje?alahh chezeya watu 8 weweeeeeeee!
 
Pole mkuu bora we umejisemea umezeeka wengine wasivyoupenda uzee hata kama wamezeeka bado wanajiona mayanki unamwamkia shikamoo babu anakwambia babua yako niachie yangu,haaaaahaaaaahaaaa uzee kweli mbaya asikwambie mtu.
hahaha...sasa hivi nimezeeka wanaovuma ni wengine best!!!
 
Hahahah...uzee upo na kila mtu akijaaliwa na Mungu utampata tu! ila mie ndio hivyo ni mzee kijana

Pole mkuu bora we umejisemea umezeeka wengine wasivyoupenda uzee hata kama wamezeeka bado wanajiona mayanki unamwamkia shikamoo babu anakwambia babua yako niachie yangu,haaaaahaaaaahaaaa uzee kweli mbaya asikwambie mtu.
 
Dah haya banah mkuu nimekukubali uzee ukija hatuna budi kuukubali kwani utaficha hadi lini?Akha hata mi siwezi kuukataa uzee ndio kwanza nitakuwa nahamasisha wajukuu waniite babu.
hahaha...sasa hivi nimezeeka wanaovuma ni wengine best!!!
 
Back
Top Bottom