fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,608
- 7,167
Kijana umepambana sana,huna misingi ya soka lakini umepambana sana kama osama wa morocco ambae amelelewa kisoka.Lile goli ulilokosa sio tija maana ni alama ya wazi kuwa hukupata malezi ya kisoka,sasa ongeza bidii kujifunza kila siku.Na wasikilize sana makocha wako sana na pia tafuta makocha wako wa binafsi ili wakupe mazoezi.Kwenye timu ya taifa pale hakuna kocha wa kukufundisha wewe na ndio maana ile mechi ya morocco ulikuwa unakimbiakimbia tu uwanjani.Pambana kijana