stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,746
- 27,216
Vitu vingine hutakiwi kuchangia humu,utasababisha bei ipande mara dufu...Wakuu salama?
Na dawa ya NIMRCAF nimenunua asee hii dawa ni kiboko sana, nje na kuponya mafua pia inasaisaidia kule 6x6 kwa bed yani nakula mzigo bila kutoa wazungu.
Dawa hii inamchanganyiko wa Tangawizi, kotunguu swaumu, kitunguu maji, limao na pilipili. Dawa hii sahvi ni adimu inapatikana kwa connection na ipanda bei daily.View attachment 1698567



