Mzigo wa NIMR ni kiboko

Mzigo wa NIMR ni kiboko

Wakuu salama?
Na dawa ya NIMRCAF nimenunua asee hii dawa ni kiboko sana, nje na kuponya mafua pia inasaisaidia kule 6x6 kwa bed yani nakula mzigo bila kutoa wazungu.

Dawa hii inamchanganyiko wa Tangawizi, kotunguu swaumu, kitunguu maji, limao na pilipili. Dawa hii sahvi ni adimu inapatikana kwa connection na ipanda bei daily. View attachment 1698567
 
Wakuu salama?
Na dawa ya NIMRCAF nimenunua asee hii dawa ni kiboko sana, nje na kuponya mafua pia inasaisaidia kule 6x6 kwa bed yani nakula mzigo bila kutoa wazungu.

Dawa hii inamchanganyiko wa Tangawizi, kotunguu swaumu, kitunguu maji, limao na pilipili. Dawa hii sahvi ni adimu inapatikana kwa connection na ipanda bei daily. View attachment 1698567
Wazungu wako lockdown WHO wamesha tangaza hali ya hatari huko kwa kingi mswati
 
Kuwa mbunifu ungejaribu kutoa wachina, sio lazima iwe wazungu tu.
 
Iweje ule mzigo halafu utake kutoa wazungu?

Kwani chakula hamna hadi unakula mizigo?
 
Wakuu salama?
Na dawa ya NIMRCAF nimenunua asee hii dawa ni kiboko sana, nje na kuponya mafua pia inasaisaidia kule 6x6 kwa bed yani nakula mzigo bila kutoa wazungu.

Dawa hii inamchanganyiko wa Tangawizi, kotunguu swaumu, kitunguu maji, limao na pilipili. Dawa hii sahvi ni adimu inapatikana kwa connection na ipanda bei daily. View attachment 1698567
Al-Kasusu mjarab kwa hisani ya NIMR 😂😂😂
 
Mapema sana wahuni watauficha huu mzigo 😂😂😂
Ushaanza kuwa adimu mkuu, sasa hivi Covidol tu ndio inapatikana...

Ajabu hata kina mama/wadada ni mwendo wa NIMRCAF (sijui wanawanunulia wazee wao)....teh teh tehhhh
 
Wakuu salama?
Na dawa ya NIMRCAF nimenunua asee hii dawa ni kiboko sana, nje na kuponya mafua pia inasaisaidia kule 6x6 kwa bed yani nakula mzigo bila kutoa wazungu.

Dawa hii inamchanganyiko wa Tangawizi, kotunguu swaumu, kitunguu maji, limao na pilipili. Dawa hii sahvi ni adimu inapatikana kwa connection na ipanda bei daily. View attachment 1698567
Bila wazungu kutoka sasa umepata raha gani?
 
Wadanganye wengine unatangaza biashara kitoto sana badili mbinu

sent from HUAWEI
 
Back
Top Bottom