Mzigo wa NIMR ni kiboko

Mzigo wa NIMR ni kiboko

Buku 10 kwa NIMR, sema unapiga foleni si ajabu ukajipata unapata corona kwenye mstari...

Huko mitaani hata 25k wapo watu wanaziuza, si ajabu ikifika mkoa watauza hadi 30k...
Ahsante Sana
 
Wakuu salama?
Na dawa ya NIMRCAF nimenunua asee hii dawa ni kiboko sana, nje na kuponya mafua pia inasaisaidia kule 6x6 kwa bed yani nakula mzigo bila kutoa wazungu.

Dawa hii inamchanganyiko wa Tangawizi, kotunguu swaumu, kitunguu maji, limao na pilipili. Dawa hii sahvi ni adimu inapatikana kwa connection na ipanda bei daily. View attachment 1698567

Inawezekana hiyo kazi ya pili ndio maana haipatikani kiurahisi
 
Inaonekana tatizo la vijana wetu kutokujiamini kunako 6x6 ni kubwa kuliko tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. We mtu anakunywa dawa ya corona, huku kichwani anawaza aka test kuona kama wazungu watatoka mapema au la..! Wakichelewa kidogo basi amesha conclude kwamba ni ile dawa imemsaidia anaanza kutangaza kila mahali.

Wazungu kuwahi au kuchelewa inachangiwa na vitu vingi ikiwepo frequency ya kufanya mapenzi. We kama unataka kujua kama dawa inasaidia ama la, jifungie mwezi mzima ukinywa hiyo dawa bila kutiana. Siku ukitoka kamata demu mkali uone kama hujatolea wazungu mapajani kabla hata hujaingiza mashine kwenye papuchi.

Mkuu sio mimi tu kila mtu anatoa huo mrejesho
 
Huo mzigo ni mzigo hakuna kitu hapo hahaha hahaah! Wajinga ndio waliowao!
 
Nilinunua hiyo nimcaf zaidi ya mwezi mitatu iliopita sijaifungua had sasa. sijui km bado itakuwa nzima. sikuiweka kwene friji.
 
mi nimeambulia tu wazungu, mambo mengine waiache korona ifanye kazi kama siraha zenyewe ndo hivyo vitu sijui michanganyiko ya viungo vya mboga eti ushindane na korona!! tuache mizaha asee
 
Yaani akili za vijana wengi zimeathilika na mawazo ya ngono tu.......yaani lila kitu kinatazamwa kwenye mlengo wa kingono ngono......
 
Kwanini ukanunue dawa inatengenezwa kilocal hivyo kuforge ni rahisi wakati mchanganyiko unaujua mimi najitengenezea mwenyewe sema toka nimeanza kutumia wiki ya pili sasa asubuhi na jioni.
Faida
1. Napata choo kizuri
2. Mwili unasawa sana huisi kuchoka
3. Nacheuwa sana nadikiri kuondoa gas tumboni
4. Huwa nikinywa bia za baridi kesho yake lazima nipate flue au dalili za tonsil baada ya kuumia hii hiyo hali imekata


Side Effect zake
1.Mwanzoni kichwa kilikuwa kinauma saa moja baada ya kunywa sasa nakunywa na maji mengi

2. Kukojóa mara kwa mara hasa usiku
Mkuu.. sorry.. mi nna swali kidogo..
Mama watoto alitengeneza kulingana na yale maelezo ya NIMR... Sasa swali langu:

1. Dosage yake ni kijiko kimoja kimoja kwa wakati ulioamriwa, sasa kwa lita moja hadi kuisha ni ishu, Je hai expire kweli!?

2. Mbona mkuu naona wewe kama unakunywa glass nzima.. is it not over dose kweli!?
 
Mkuu.. sorry.. mi nna swali kidogo..
Mama watoto alitengeneza kulingana na yale maelezo ya NIMR... Sasa swali langu:

1. Dosage yake ni kijiko kimoja kimoja kwa wakati ulioamriwa, sasa kwa lita moja hadi kuisha ni ishu, Je hai expire kweli!?

2. Mbona mkuu naona wewe kama unakunywa glass nzima.. is it not over dose kweli!?
1. Unaweka kwa fridge, unaweza kuipasha kidigo ukanywa kama imepoa hasa kwa watoto

2. Mchanganyiko huu ni kama kinywaji tu sio kama dawa za kiwandani au mitishamba
 
Wakuu salama?
Na dawa ya NIMRCAF nimenunua asee hii dawa ni kiboko sana, nje na kuponya mafua pia inasaisaidia kule 6x6 kwa bed yani nakula mzigo bila kutoa wazungu.

Dawa hii inamchanganyiko wa Tangawizi, kotunguu swaumu, kitunguu maji, limao na pilipili. Dawa hii sahvi ni adimu inapatikana kwa connection na ipanda bei daily. View attachment 1698567
Hii dawa niliinywa halhamisi nikaanza kuumwa usiku huo huo hadi leo.
 
Back
Top Bottom