Mzenjiberi
Member
- May 30, 2012
- 25
- 3
Habari wana JF nimeingia Mzenjiberi katika ukumbi wenu. Nimeona niingie kushiriki katika mijadala hasa ya siasa kwa sababu naona mambo mnayojadili yananigusa sana , zipo hoja za msingi lakini zipo PUMBA za kutosha pia. Nami sasa nimengia ulingoni. Mimi ni muumini wa JAMUHURI YA WATU WA ZANZIBAR, naomba hili niliweke wazi mapema sana.
Nina ndoto ya kuiona Zanzibar Huru katika jumiuia ya Afrika Mashariki kama itakavyokua Tanganyika, Kenya ,Rwanda,
Burundi n.k. Kama Sudan ya Kusini wameweza kujitenga kwa nini sisi tushindwe?
Nina ndoto ya kuiona Zanzibar Huru katika jumiuia ya Afrika Mashariki kama itakavyokua Tanganyika, Kenya ,Rwanda,
Burundi n.k. Kama Sudan ya Kusini wameweza kujitenga kwa nini sisi tushindwe?