Inflation kwa sasa ni tatizo la Dunia nzima,kule US kwenyewe sasa hivi inflation iko 6.3% na FED wameishiwa mbinu kuipunguza kwa sasa wanahaha kuongeza debt ceiling ili waendelee kukopa mpaka pale Yesu atakapokuja kama atakuja kwelina ndo maana bidhaa zikipanda Bei hazishuki.....!!!