Mzee Warioba: Miaka 60 ya Uhuru tunaanza kurudi kule kule kwenye matabaka ya Waheshimiwa na Makabwela!

Akizungumza kwenye kipindi cha Dakika 45 ITV, makamu wa kwanza wa Rais na waziri mkuu mstaafu Jaji Warioba amesema taifa limeanza kurudi kwenye matabaka ya Waheshimiwa na Makabwela.

Amesema waheshimiwa zamani waliitwa Wa Benz

Au matabaka ya Raizoni na Kandambili

Jaji Warioba amesema hata Elimu kwa sasa haiangalii tena Uwezo na Uadilifu bali cheti.

Kipindi kitarushwa saa 3.00 usiku.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Mzee katiba yako ipo wapi??!!!
 
"Ubabe na unyonge kwa sasa ni wazi ndilo jambo linaloendelea nchini."

Hayo ni maneno ya mzee Warioba akiuponda Utawala unaoendeleza sera za kuwanyonya wanyonge na kuwakumbatia wenye mamlaka na Mali jambo ambalo mzee amesema tulikuwa tumeshaanza kuyasahau.

Msikilize wenyewe ITV kuanzia saa 3 usiku huu

Tumerejea tulipotoka? Je awamu hii alishawahi Kupigwa vibao?
 
Ni afadhali kurudi kule kule kuliko kuongozwa na watu wasiojulikana aka mazombie
 
"Ubabe na unyonge kwa sasa ni wazi ndilo jambo linaloendelea nchini."

Hayo ni maneno ya mzee Warioba akiuponda Utawala unaoendeleza sera za kuwanyonya wanyonge na kuwakumbatia wenye mamlaka na Mali jambo ambalo mzee amesema tulikuwa tumeshaanza kuyasahau.

Msikilize wenyewe ITV kuanzia saa 3 usiku huu
Mungu mbariki mzee Warioba
 
"Ubabe na unyonge kwa sasa ni wazi ndilo jambo linaloendelea nchini."

Hayo ni maneno ya mzee Warioba akiuponda Utawala unaoendeleza sera za kuwanyonya wanyonge na kuwakumbatia wenye mamlaka na Mali jambo ambalo mzee amesema tulikuwa tumeshaanza kuyasahau.

Msikilize wenyewe ITV kuanzia saa 3 usiku huu
Bora mara 100 ya hawa kuliko mashetani ya Sukuma gang.

Mama kamatia hapohapo bado Makonda.
 

Attachments

  • FB_IMG_1636980250441.jpg
    FB_IMG_1636980250441.jpg
    28.6 KB · Views: 1
Back
Top Bottom