Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
View attachment 50280Bravo Mzee J.k. Tunapenda Viongozi wawe mfano namna hii hongera.
analima au anakagua shamba?
maana naona kuna bodyguard nyuma yake!
Hicho ndio kilimo cha kisasa baba, kilimo cha kuopinda mgongo kimepitwa na wakatiHehehe! Analima mkanda nje! Chezeiya kilimo wewe?
Heko mkuu wa kaya kwa kuwa mfano!
View attachment 50280Bravo Mzee J.k. Tunapenda Viongozi wawe mfano namna hii hongera.
View attachment 50280Bravo Mzee J.k. Tunapenda Viongozi wawe mfano namna hii hongera.
Ndo nini hiyo??!!mi nafanya kazi jiran na shamba lake, jk analima malisho na kuuza uarabuni, anahela mbaya...wafanyakaz wa serikal wanatumika