Mzee wa kaya ni mkulima wewe je Mwenzangu?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,319
33,125
mzeewakayanimkulimaweweje.jpg Bravo Mzee J.k. Tunapenda Viongozi wawe mfano namna hii hongera.
 
Itapendeza kama ardhi anayofugia hakumpora mtu kifisadi. Tunasubiri NANENAE atimize ile ahadi yake ya kupeleka mbuzi wa shambani kwake kushindania mbuzi bora kitaifa
 
Amejaribu kugawa muda wake vizuri. Kama anakagua shamba kuna watu walilima na wakapata ajira. Keep it up jk !!!!
 
mi nafanya kazi jiran na shamba lake, jk analima malisho na kuuza uarabuni, anahela mbaya...wafanyakaz wa serikal wanatumika
 
Back
Top Bottom