johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,879
Waziri mkuu mstaafu mh Sumaye amewaasa CCM kujiandaa kisaikolojia kwani siku zinakuja ambapo Watanzania " Wataichoka" tu na kuweka chama kingine madarakani.
Sumaye anasema ndio maana yeye, mzee Lowassa na hayati Kingunge walienda upinzani ili kuandaa mazingira mazuri kwa chama mbadala wa CCM.
Haijalishi CCM inafanya vizuri kwa kiwango gani, ukweli ni kuwa Wananchi wataichoka tu na kusema sasa basi Yatosha tunataka kutawaliwa na chama chenye mawazo mapya, amesisitiza mzee Sumaye katika mahojiano yake na Odemba wa Star tv.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Sumaye anasema ndio maana yeye, mzee Lowassa na hayati Kingunge walienda upinzani ili kuandaa mazingira mazuri kwa chama mbadala wa CCM.
Haijalishi CCM inafanya vizuri kwa kiwango gani, ukweli ni kuwa Wananchi wataichoka tu na kusema sasa basi Yatosha tunataka kutawaliwa na chama chenye mawazo mapya, amesisitiza mzee Sumaye katika mahojiano yake na Odemba wa Star tv.
Nawatakia Dominica yenye baraka!