Mzee Sumaye: CCM hata ikifanya vizuri kwa 100% ikumbuke kuna siku Watanzania Wataichoka tu na kuweka chama kingine

Sumaye Kuna wakati utimamu huwa unajia vizuri Sana tu, Ila sijui huwa anakwama wapi?
 
Tanzania ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.
Raia halisi wa Tanzania anayejielewa atasaidia taifa lake lifike lengo hilo kistaarabu kwa kufuata sheria na katiba.
Mimi ni mwana CCM ninayependa nchi yangu. Naungana na Sumaye.
 
Tanzania ni nchi inayofuata demokrasia ya vyama vingi.
Raia halisi wa Tanzania anayejielewa atasaidia taifa lake lifike lengo hilo kistaarabu kwa kufuata sheria na katiba.
Mimi ni mwana CCM ninayependa nchi yangu. Naungana na Sumaye.
Sumaye kaongea ukweli mtupu!
 
Back
Top Bottom