wote hawa ni mamilionea tena kuna ujanja wanatumia ,ambapo kwenye mali zao wana-sajili kwa majina ya ndugu zao na pesa wanatunza katika account za wafanyabiashara wakubwa nchini, ila ipo siku yote yatajulikana .
Millionea ni wengi tu Tanzania, watu wengi mishahara yao inawaruhusu, labda useme mabilionea