Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,261
- 7,195
Kama wao walikuwa wanapiga Blabla jitofautishe kwa kuweka Plate namba za gari wanzomiliki,Block / plot namba ya majumba wanayomiliki sio kurudia nyimbo za Kikasuku, mnaogopa nini kiweka ushahidi wa vitu hivyo! Nyie kipindi kile mnatumika kama wawezeshaji wa Mtandao si mlimzushia sana Mzee Sumaye eti anamiliki Trillion 10.
kwani hizo ndio hati za umiliki?hata hati za umiliki zenyewe si uthibitisho.Uthibitisho ni pale wanapodhulumiwa na wahindi ,waarabu na wengine wanaoshikilia kwa majina yao.Wengi tuu wamelizwa baada ya kutoka katik channel.
Wengi wamelizwa na hawa jamaa haswa katika biashara za nje, at a time panakuwa na hela nyingi nje zaidi ya ndani ndipo wanahama nchi.Mbaya huwa hawana pa kudai zaidi ya vitisho vya nyuma ya mlango.