johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Nipo naendelea Kusoma Kitabu cha Maisha ya Rais niliyemkubali sana Mpendwa Wetu mzee Mwinyi Ruksa
Mwinyi alipelekwa Zanzibar kujifunza Dini ya Kiislamu na akiwa huko Mungu wa mbinguni akambariki na kumfanya kuwa Rais wa Tatu wa Nchi hiyo
Ikumbukwe kuwa hata Ukristo uliingia kupitia Zanzibar iwe Catholic au anglo-catholic
Hata Mchungaji Karl Peters wa KKKT aliingilia Zanzibar
Kumbe Zanzibar ni mlango wa Imani
Bado nasoma.
Mwinyi alipelekwa Zanzibar kujifunza Dini ya Kiislamu na akiwa huko Mungu wa mbinguni akambariki na kumfanya kuwa Rais wa Tatu wa Nchi hiyo
Ikumbukwe kuwa hata Ukristo uliingia kupitia Zanzibar iwe Catholic au anglo-catholic
Hata Mchungaji Karl Peters wa KKKT aliingilia Zanzibar
Kumbe Zanzibar ni mlango wa Imani
Bado nasoma.