Mzee Mwinyi ni mwenyeji wa Mkuranga ila alipelekwa Zanzibar kujifunza Dini ya Kiislamu na baadaye akawa Rais wa Nchi hiyo

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,978
141,994
Nipo naendelea Kusoma Kitabu cha Maisha ya Rais niliyemkubali sana Mpendwa Wetu mzee Mwinyi Ruksa

Mwinyi alipelekwa Zanzibar kujifunza Dini ya Kiislamu na akiwa huko Mungu wa mbinguni akambariki na kumfanya kuwa Rais wa Tatu wa Nchi hiyo

Ikumbukwe kuwa hata Ukristo uliingia kupitia Zanzibar iwe Catholic au anglo-catholic

Hata Mchungaji Karl Peters wa KKKT aliingilia Zanzibar

Kumbe Zanzibar ni mlango wa Imani

Bado nasoma.
 
Nipo naendelea Kusoma Kitabu cha Maisha ya Rais niliyemkubali sana Mpendwa Wetu mzee Mwinyi Ruksa

Mwinyi alipelekwa Zanzibar kujifunza Dini ya Kiislamu na akiwa huko Mungu wa mbinguni akambariki na kumfanya kuwa Rais wa Tatu wa Nchi hiyo

Ikumbukwe kuwa hata Ukristo uliingia kupitia Zanzibar iwe Catholic au anglo-catholic

Hata Mchungaji Karl Peters wa KKKT aliingilia Zanzibar

Kumbe Zanzibar ni mlango wa Imani

Bado nasoma.
Sheria za Zanzibar zinaruhusu ukiishi miaka 5 mfululizo unaweza kuomba na kupewa kitambulisho cha mzanzibar mkazi na kuruhusiwa kugombea nafasi za uongozi.
 
Nipo naendelea Kusoma Kitabu cha Maisha ya Rais niliyemkubali sana Mpendwa Wetu mzee Mwinyi Ruksa

Mwinyi alipelekwa Zanzibar kujifunza Dini ya Kiislamu na akiwa huko Mungu wa mbinguni akambariki na kumfanya kuwa Rais wa Tatu wa Nchi hiyo

Ikumbukwe kuwa hata Ukristo uliingia kupitia Zanzibar iwe Catholic au anglo-catholic

Hata Mchungaji Karl Peters wa KKKT aliingilia Zanzibar

Kumbe Zanzibar ni mlango wa Imani

Bado nasoma.
Nirushie basi kwenye PDF,me Niko nacho cha Reginald Mengi....
 
Back
Top Bottom