GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Pwito now you talking.
Nani aliyesema kuwa waandishi wa habari ni house made hivyo hawastahili kulipwa? Ni nani huyo aliyesema nafasi ya uwaziri house wife hivyo wanastahili maslahi makubwa? Je alitumia vigezo gani kufikia uamuzi huo? Je, wakati tunapohama toka karne ya Viwanda na kuingia information age hivyo vigezo bado vina tija?
Aweda,
Huwezi fananisha nanasi na ndizi.
Mwanakijiji kumfananisha na Abdallah Kigoda ni kama kufananisha Mbingu na Ardhi.
Nini cha maana na cha akili alichofanya Mwanakijiji zaidi ya majungu na fitna za mitandaoni?
Abdallah Kigoda on the other hand, ni mmoja katika watu mahiri sana na "he is a born leader".
Ok. Nimekuelewa. Kumbe unataka waandishi wa habari wapate heshima wanayostahili. Naunga mkono, lakini... Mimi ni mwanasheria, wakili wa kujitegemea, na kwa bahati mbaya/nzuri sijaajiriwa serikalini. Naomba nitambuliwe kwa ni natoa mchango mkubwa kutetea haki za wananchi
Mimi ni daktari, sijaajiriwa serikalini, lakini nina hospitali yangu. Naomba nitambuliwe kwa sababu ninatoa mchango kwa jamii.
Mimi ni dereva wa daladala, naendesha mamia ya watu kila siku kutoka temeke hadi muhimbili. Kwa bahati mbaya sikuajiriwa serikalini. Naomba nilipwe na serikali kwa sababu natoa mchango mkubwa sana kwa jamii...
Bwana Mikael P Aweda naomba unitetee popote utakapoweza nami niatmbuliwe...
Kuhusu kuyaingiza hayo kwenye katiba bwana Mkaili, nilishakwambia; Katiba ni document ya kuwalinda na kuwatetea watawala dhidi ya watawaliwa... Kama unataka waandishi wa habari wawe watawala sawa...
Mikael P Aweda, mambo mkuu kwanza kabisa long time not seen anyway tutawasiliana baade.Wakurogwa,
Nadhani hujanielewa hata kidogo. Mimi sijasema kwamba Mwanakijiji au waandishi wa habari walipwe mishahara na posho sawa sawa na wabunge, mikopo mil 90 nk. Hapana. Inafahamika kuwa ktk nchi hii kila mtu analipwa mshahara kulingana na kazi anayofanya na ngazi aliyopo. mwl mkuu wa shule na mfanya usafi hawalipwi sawa. Swali ni je, ngazi ya waandishi wa habari kwa ujumla wao ndani ya nchi iko wapi? Na je, waandishi wa habari hawana mchango ktk taifa hili? kama wabunge, walimu na madaktari tunawalipa vipi kuhusu wao?
Mkuu tuko nimekupata,
Umenipa changamoto nzuri sana.Hoja yangu ni kwamba kutokana na unyeti wa sekta hii ya habari ingekuwa vizuri tukaipa uzito fulani. Kwa namna gani sote tuumize vichwa vyetu. Kuna walimu walioajiriwa kila kona, na kuna wanasheria kila wilaya. Nadhani tungekuwa na wanahabari pia kila wilaya in the long run.
we umetoka kijiji gani wewe, wa wapi wewe? Mtafute pembeni huko ukampikie chai. Hakuna mtu anaewakilisha watu wote hapa!Mwanakijiji ni mwakilishi wa waandishi wote wazuri wa habari akiwepo wewe wa JF.
Aweda huwa tunakuonaga sana kwenye vipindi vya ITV tena sana sana kipima joto au sema usikike.
swali, wewe ni mwanaharakati au mtanganyika tu wakawaida??
Aweda,
Huwezi fananisha nanasi na ndizi.
Mwanakijiji kumfananisha na Abdallah Kigoda ni kama kufananisha Mbingu na Ardhi.
Nini cha maana na cha akili alichofanya Mwanakijiji zaidi ya majungu na fitna za mitandaoni?
Abdallah Kigoda on the other hand, ni mmoja katika watu mahiri sana na "he is a born leader".
Kama issue ni kuwatetea wanahabari embu tuanze na mtiririko wa background ya huyo mwanahabari. Alipomaliza form 4 akaenda wapi au kipi kilifuata maana kuna house made aliona wife wa bosi wake kanunuliwa nguo nzuri na yeye akaletewa ya kawaida akaanza kunong'ona eti mimi naamka saa kumi nafanya kazi zote yeye anaamka saa tatu hana analolifanya ndo anapata kizuri. Jamani unapokuwa ngazi ya juu wewe ni decision maker, siye wachini tutatumika mpaka position ndio itakayokuokoa. Naomba tufunge mjadala maana tutachukiana bure ingawa ndo ukweli wenyewe
Aweda,
Huwezi fananisha nanasi na ndizi.
Mwanakijiji kumfananisha na Abdallah Kigoda ni kama kufananisha Mbingu na Ardhi.
Nini cha maana na cha akili alichofanya Mwanakijiji zaidi ya majungu na fitna za mitandaoni?
Abdallah Kigoda on the other hand, ni mmoja katika watu mahiri sana na "he is a born leader".
Mkuu Nanasi na ndizi vinafananishika kwani yote matunda. Tofauti tu ya Kigoda na M.M ni FURSA na si jambo la kimiujiza sana. Kigoda alipata fursa ya kupeana huko CCM na akawa Waziri na kuonyesha kipaji chake ambacho actually ni cha kawaida kabisa ila MM hakufanikiwa kupata upendeleo wowote ndo maana hadi leo ni mpiganaji asiyetaka kuvutwa shati ili kufika anapotaka kufika. Ninaamini kwamba fighter wengi kama MM ni watu makini na wenye uwezo wa kuona mbali na kutenda tofauti na wanaokaa kusubiri huruma za kugawiwa vyeo.
Hapo nilipokuwekea nyekundu badilisha, inaonesha kuwa Kiswahili chako ni cha manati.
Nashkuru Mungu kukufahamisha kuwa sijawahi kuwa mlala hoi wala mlala hai nimezaliwa nikiwa mlala heri na mpaka leo ni mlala heri. Naajiri toka nimezaliwa AlhamduliLllah.
Shida iko wapi, muingizeni kwenye payroll ya cdm si mnapata ruzuku? mchango wa mwanakijiji zaidi ya kwenye cdm kwa wananchi wa kawaida haujulikana na haujaonekana bado
Aweda,
Huwezi fananisha nanasi na ndizi.
Mwanakijiji kumfananisha na Abdallah Kigoda ni kama kufananisha Mbingu na Ardhi.
Nini cha maana na cha akili alichofanya Mwanakijiji zaidi ya majungu na fitna za mitandaoni?
Abdallah Kigoda on the other hand, ni mmoja katika watu mahiri sana na "he is a born leader".
Mkuu, post yake haiko wazi kama unavyoichukulia! Kuna mtu hapo juu amesema and I quote"too pholosophical" Sasa kama hujaelewa Takeshi time to your self and read between the lines.
Mimi sikulaumu Ika ukweli ni Kuwait hujaelewa hii post mazima!