Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Kaka mtu chake nishaachiwa tayari nipo nimejaa tele lol!Cantalisia uko wapi?
Last edited by a moderator:
Kaka mtu chake nishaachiwa tayari nipo nimejaa tele lol!Cantalisia uko wapi?
Sema ukweli baba acha kudanganya watu,tangu nikuharibie siku ile ukiwa na dada Glady ukanifungia selo!Naomba kufunga huu mjadala, kwanza niko bize na mwanangu Cantalisia tunaandaa kesi ya kuweka leo ijumaa.
Mahari yangu nilikula mwenyewe coz nilikua namdai baba so tukakatana kupitia mahari yangu,safi sana mzee Mtambuzi.....
rejao mwenyewe hajatoa mahari...
halafu ajilie vya bure...
fungia ndani hiyo binti....
Acha tu swaiba Asnam huyu mzee alichonifanyia acha tu,yani sio km mngeamua kumtaiti hv ungekuta bado niko lupango kisa namharibia dili zake za kutoka na vismal hauc vyake!mmh mimi simo kumbe Cantalisia mzee akitoka unajimwaya hivyo
Jaman platozoom mie si ndio asali wa moyo wake jama,mwachen afaidi lol!Akisikia Cantalisia anatajwa tu lazima aje hata kama kenye jukwaa la siasa amekula za uso
Mzee wa mia,ww hukuwepo wakati naolewa na na papa Rejao ndio maana,hahahahaaaaa....!!!!. mia
Wala wasikutie presha mme wangu,Heeee...naona mna mpango wa kunivunjia ndoa yangu. Mnatafutwa kulogwa..
Mkuu Rejao ntake radhi.... Mi sitaki kila mtu ila nnatakiwa na kila binti.Bishanga hajui kucare..
Halafu haridhiki..anataka kila mtu. Hana tofauti na Asprin na klorokwini
Sent from my BlackBerry using JamiiForums
Orait darling,am waiting for u...........!Achana naye huyo mai waifu..nakaribia kukam, hold on slowly!!
Wala hujakosea my dia,yaani itabiti tumkalie kikao ili kuakikisha tnakomeha tabia yake lol!LOL......Pole sana wangu huyu mzee inabidi siku akija kalewa tumfunge na kamba kwenye tendegu la kitanda.
Hijafa na haitakufa milele ebo!!Hivi ndoa yako haijafa bado
Hayo majungu sasa,mwezio nimemkoleza mme wangu ww unasema limbwata!!!Limbwata
..karibu dada CantalisiaKaka mtu chake nishaachiwa tayari nipo nimejaa tele lol!
vipi na pua inafanya kazi??...hahahahaaaaa....!!miaMzee wa mia,ww hukuwepo wakati naolewa na na papa Rejao ndio maana,
Ila ndio ivo tena huku ana mvuto balaa na kwake ndio nishafika,na hiyo pua ndio ugonjwa wangu,yani maisha hakuna bila mme wangu kipenzi Rejao,mia.