TaiJike
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 1,483
- 666
- Thread starter
- #21
Last edited by a moderator:
Naomba kufunga huu mjadala, kwanza niko bize na mwanangu Cantalisia tunaandaa kesi ya kuweka leo ijumaa.
BADILI TABIA nini tena hujui mi nilikuwa napokea advance kidogo kidogo, acha usinikatie ulaji.safi sana mzee Mtambuzi.....
rejao mwenyewe hajatoa mahari...
halafu ajilie vya bure...
fungia ndani hiyo binti....
BADILI TABIA nini tena hujui mi nilikuwa napokea advance kidogo kidogo, acha usinikatie ulaji.
Naweka pingamizi la kufunga mjadala, ulitakiwa uwe umeshaweka toka alfajiri watu na matongo wanatafuta kesi hazionekani. una faini ya bia 5.
Rejao nimemzoea kwenye siasa lakini nasikia nako huku ana mvuto balaa.
hahahahahah inabidi umfundishe Cantalisia mbinu za kutoroka, jinsi ya kuruka geti...
Akisikia Cantalisia anatajwa tu lazima aje hata kama kenye jukwaa la siasa amekula za uso
Asnam, siku hizi una maneno ka nini.........Unajua nitakutovuga!hapo umempatia eti anamchunga binti wakati sokoni anaenda peke yake au ndo wale wazee ambao shopping anafanya peke yake hata waifu hatoki ndani mwisho wa siku shambaboy anajilia kiulaini bila chenga.
TaiJike haya nenda mtaa wa pili nishakuwekea kesi ya leo Ijumaa na hivi punde utamuona Cantalisia hapa........
Rejao nimemzoea kwenye siasa lakini nasikia nako huku ana mvuto balaa.
Naona umeanza kumtisha mapema kabisa Bishanga ili amalize game mapema na asikuharibie katika makoloni yako unayomiliki hapa jukwaa sijui saa hizi ni yatakuwa yamefika kama idadi ya viti vya ubunge vya CCM tehe tehe tehe.
Rejao nimemzoea kwenye siasa lakini nasikia nako huku ana mvuto balaa.
Hahahah..lol, mke lazima alindwe..chezeya ndoa weye!Akisikia Cantalisia anatajwa tu lazima aje hata kama kenye jukwaa la siasa amekula za uso
TaiJike haya nenda mtaa wa pili nishakuwekea kesi ya leo Ijumaa na hivi punde utamuona Cantalisia hapa........
Kumbe leo mko hapa siyo?
Haya binti mmoja mwenye nidhamu aliyepima afya yake miezi mitatu iliyopita aje huku kitandani aniambie kwa kina kuwa hapa sanasana mnajadili kitu gani?
Ni mimi ODM niliyebakia, ni mimi tu kuzisikia habari.