CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,999
Matobolwa ni viazi vitamu vilivyokaushwa kwa kuanikwa baadae hupikwa na kuliwa...
Mornie daddy... alaa kumbe. Sie huku usukumani tunayaita "Michembe" Dah ni mitamu niaje...!!!
Matobolwa ni viazi vitamu vilivyokaushwa kwa kuanikwa baadae hupikwa na kuliwa...
na matobolwa matamu ni yale ambayo viazi vyake havina unga unga..yaan ayo ndo yana utamu mpaka bas
morning daughter!!!Mornie daddy... alaa kumbe. Sie huku usukumani tunayaita "Michembe" Dah ni mitamu niaje...!!!
Mornie daddy... alaa kumbe. Sie huku usukumani tunayaita "Michembe" Dah ni mitamu niaje...!!!
Nakumbuka nikiwa Utete, tulikuwa na nyumba yetu ya tembe pale...basi paa la nyasi ndio tulikuwa twalitumia kuanika matobolwa....
Ndio nimetua Mwanza hivi punde....
Nimepokelewa na charminglady na @C6, watu wa Mwanza ni wakarimu sana, nipo hapa Hoteli ya JB Belmont nimejipumzisha kabla ya kuianza siku na vikao lukuki, jioni, nitakutana na wana JF wa Mwanza kwa ajili ya kubadilishana uzoefu halafu tuna Party kidogo kwa mwendo wa LEO TUPO HAPA PUB.....LOL
UP DATE:
Muda huu niko na wana JF katika ukumbi wa juu kabisa wa AMBASSADOR LOUNGE wa hala JB BELMONT HOTEL yaani kama vile tuko LEO TUPO HAPA PUB, kasoro tu huku hakuna Contensa, Govinder Kumar wla Strawberry Lips.
Lakini mambo pouwa kabisa aisee, watu wa Mwanza ni wakarimu sana maana tangu nifike ni ma-hospitality tu kama Mkuu
fulani....LOL
Copy to: Mamndenyi, Paloma, Madame B, madam Z, Mrembo by Nature, King'asti, Elizabeth Dominic, BADILI TABIA, Chauro, Smile, Kipaji Halisi, gfsonwin, cacico, MadameX, Lisa, snowhite, Nivea, ladyfurahia, Nicas Mtei, Mwita Maranya, Jeska, amu, Kaizer, KakaKiiza, Fidel80, Swts, mwaJ
Hahahaaaa
eti mjanja lol
Tangu lini jogoo la shamba likawika mjini?
We nenda Ikwiriri ukalime mihogo town hupawezi The secretary
Nakulav mwaya The secretary.
niletee fish
HA HA HA hongera broda hope utafanya arrangments jumamosi tutameet woote
madame umempeleka wapi huyo Babu mbona not reachable ?
Ndio nimetua Mwanza hivi punde....
Nimepokelewa na charminglady na @C6, watu wa Mwanza ni wakarimu sana, nipo hapa Hoteli ya JB Belmont nimejipumzisha kabla ya kuianza siku na vikao lukuki, jioni, nitakutana na wana JF wa Mwanza kwa ajili ya kubadilishana uzoefu halafu tuna Party kidogo kwa mwendo wa LEO TUPO HAPA PUB.....LOL
UP DATE:
Muda huu niko na wana JF katika ukumbi wa juu kabisa wa AMBASSADOR LOUNGE wa hala JB BELMONT HOTEL yaani kama vile tuko LEO TUPO HAPA PUB, kasoro tu huku hakuna Contensa, Govinder Kumar wla Strawberry Lips.
Lakini mambo pouwa kabisa aisee, watu wa Mwanza ni wakarimu sana maana tangu nifike ni ma-hospitality tu kama Mkuu
fulani....LOL
Copy to: Mamndenyi, Paloma, Madame B, madam Z, Mrembo by Nature, King'asti, Elizabeth Dominic, BADILI TABIA, Chauro, Smile, Kipaji Halisi, gfsonwin, cacico, MadameX, Lisa, snowhite, Nivea, ladyfurahia, Nicas Mtei, Mwita Maranya, Jeska, amu, Kaizer, KakaKiiza, Fidel80, Swts, mwaJ
Cousin FirstLady1 huyo babu jana alifumaniwa... We acha tu. Hujaona breaking news kwenyr magazeti ya leo????
Babu ana visa huyu Kufika tu ba kufumaniwa hawajui wazee wa Samaki ..mwanza oooh mwanza ..mwanza mji mzuri mwanza ...
Matobolwa ni BigGee za Wasukuma, Msubhati!.Yego Muramu.... Hivi matobolwa ni nini?????