Mzee Mtambuzi in MWANZA...!

Mzee Mtambuzi in MWANZA...!

na matobolwa matamu ni yale ambayo viazi vyake havina unga unga..yaan ayo ndo yana utamu mpaka bas

Nakumbuka nikiwa Utete, tulikuwa na nyumba yetu ya tembe pale...basi paa la nyasi ndio tulikuwa twalitumia kuanika matobolwa....
 
ila michembe ni ile ambayo viazi vyake havikupikwa ila vimekausha tu baada ya kukatwakatwa..matobolwa ni yanayopikwa kabla ya kukatwakatwa na kisha kuanikwa
Mornie daddy... alaa kumbe. Sie huku usukumani tunayaita "Michembe" Dah ni mitamu niaje...!!!
 
HA HA HA hongera broda hope utafanya arrangments jumamosi tutameet woote
Ndio nimetua Mwanza hivi punde....
Nimepokelewa na charminglady na @C6, watu wa Mwanza ni wakarimu sana, nipo hapa Hoteli ya JB Belmont nimejipumzisha kabla ya kuianza siku na vikao lukuki, jioni, nitakutana na wana JF wa Mwanza kwa ajili ya kubadilishana uzoefu halafu tuna Party kidogo kwa mwendo wa LEO TUPO HAPA PUB.....LOL

UP DATE:

Muda huu niko na wana JF katika ukumbi wa juu kabisa wa AMBASSADOR LOUNGE wa hala JB BELMONT HOTEL yaani kama vile tuko LEO TUPO HAPA PUB, kasoro tu huku hakuna Contensa, Govinder Kumar wla Strawberry Lips.

Lakini mambo pouwa kabisa aisee, watu wa Mwanza ni wakarimu sana maana tangu nifike ni ma-hospitality tu kama Mkuu
fulani....LOL


Copy to: Mamndenyi, Paloma, Madame B, madam Z, Mrembo by Nature, King'asti, Elizabeth Dominic, BADILI TABIA, Chauro, Smile, Kipaji Halisi, gfsonwin, cacico, MadameX, Lisa, snowhite, Nivea, ladyfurahia, Nicas Mtei, Mwita Maranya, Jeska, amu, Kaizer, KakaKiiza, Fidel80, Swts, mwaJ
 
kwani atakumbuka kukuletea fish si watamsahaulisha watoto wa huko angalie asijesema ni wakarimu kumbe wanamchota tu, ajihadhari na wa tu wa huko nwengi wao ni matapeli mm nawafahamu kwani natokea hukohuko, halafu ndugu yangu wewe si ulimsema sana kule kwenye thread ile ya "wagombanao ndio wapatanao" atasahau kweli akuletee fishi? sijui
niletee fish
 
halafu mtafute Heaven of Desert mwambie hivi je ameshaoa au bado? maana alitangaza NIA kule kwenye chumba maalum sasa ameshapata tunataka mm na mume wangu tuwe bridegroom wake
Ndio nimetua Mwanza hivi punde....
Nimepokelewa na charminglady na @C6, watu wa Mwanza ni wakarimu sana, nipo hapa Hoteli ya JB Belmont nimejipumzisha kabla ya kuianza siku na vikao lukuki, jioni, nitakutana na wana JF wa Mwanza kwa ajili ya kubadilishana uzoefu halafu tuna Party kidogo kwa mwendo wa LEO TUPO HAPA PUB.....LOL

UP DATE:

Muda huu niko na wana JF katika ukumbi wa juu kabisa wa AMBASSADOR LOUNGE wa hala JB BELMONT HOTEL yaani kama vile tuko LEO TUPO HAPA PUB, kasoro tu huku hakuna Contensa, Govinder Kumar wla Strawberry Lips.

Lakini mambo pouwa kabisa aisee, watu wa Mwanza ni wakarimu sana maana tangu nifike ni ma-hospitality tu kama Mkuu
fulani....LOL


Copy to: Mamndenyi, Paloma, Madame B, madam Z, Mrembo by Nature, King'asti, Elizabeth Dominic, BADILI TABIA, Chauro, Smile, Kipaji Halisi, gfsonwin, cacico, MadameX, Lisa, snowhite, Nivea, ladyfurahia, Nicas Mtei, Mwita Maranya, Jeska, amu, Kaizer, KakaKiiza, Fidel80, Swts, mwaJ
 
Last edited by a moderator:
Ukirudi nipitie hapa Iringa, Tena sijui kama Kuna wana JF hapa Iringa, maana nipo kwa muda.Usisahau Sato.
 
Back
Top Bottom