nikisubiri kuulizwa si nitachanganyikiwa
Nakaribia
Wana mapenzi ya dhati kwangu
Hata uchanganyikiwe huna faida yoyote.
Sijui kama nitaondoka salama katika mji huu wa Mwanza.......Kagoma kuitika bana... Hebu mlazimishe aitike bana, may be anahisi akiitikia nitamnyima kitu!!!
Hata uchanganyikiwe huna faida yoyote.
He! Erickb52 acha kumnyanyapaa The secretary bhana, hujui ni mtoto wa mwanaume mwenzako?
Imetoboka mazima wiki hii sio ya mtongozo kabisa
Sijui kama nitaondoka salama katika mji huu wa Mwanza.......
Mambo gani haya kutamanishana na uzee huu, nisije fia kifuani mwa mtu mie..........
Nakulav mwaya The secretary.
Hebu rudia tena.... Wakati umetaka threesome??? Elizabeth Dominic hebu njoo umsikie huyu mzee...
Afu kwanini ulimfukuza C6 ?? Ulimnong'oneza baada ya muda mfupi akaaga... ulimwambia nini????