:rockon:Namwona kwenye picha akiwa ametakata kabisa na kuwa kijana mdogo kabisa. Dah! Kumbe maji ya Dar es Salaam yana miujiza yake. Lakini huyu bwana ana umri gani? Tangu mke wake alipofariki na kupewa rambirambi nyingi sana ni kwa nini hakuoa? Mh! Hii dunia ina mambo. Au aliona angeoa wakati ule asingepata publicity? I wish him all the best. Fungate ni wapi?Huyo Head Mistress ana umri gani?
Nae alikua Mjane?
Hicho cheo anazo sifa zake?
Au ndo yale yale ya Philip Hamim Augustino Mulungu Dickson Mulugo??
Nilikuwa namjua mke wa Mangula alikuwa mwalimu, alikuwa anaitwa mwalimu Gendelimage Mangula.
dah, afadhali pinda kapata pacha wake aisee
maana tukiwaweka pale kati Pinda, Mangula, mgimwa na Wasira lazma mtu ukae
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Phillip Mangula
Hilo jina la Yolanda tu yaonyesha mkwe katulia
Wasira ndiye best man halafu honeymoon wanaenda gombe
Mkuu unaelewa pia mkishazaa ni mke na mume kisheria?
Ni MKWE bila shaka.nadhani ulitaka kusema mke. au?