Scolari
JF-Expert Member
- Aug 25, 2017
- 1,723
- 2,419
Hayati alihusika kwenye jaribio lileWe kichaa hujui hayati ndo alimpa Mangula ulinzi kutoka TISS tangu akiwa hospitali? Pumbavu sana
Hayati alihusika kwenye jaribio lileWe kichaa hujui hayati ndo alimpa Mangula ulinzi kutoka TISS tangu akiwa hospitali? Pumbavu sana
Siasa hizi tuwaachie wenye nazo.... Nazo ni Kipaji Ujue.... Kule kwetu tunapokimbiza Comments 10000+
Ondoeni porojo hizi kama kuna kitu amefanya Kwanza ndio kazi aliyoomba lkn pia kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kusema eti nafanya makubwa kama kafanya ni yakawaida tu ambayo hata wenzie walifanya! unaweza kulinganisha aliyofanya Mkapa na huyo jamaa yenu mliemfanya kuwa mungu mbona Mkapa hakuwa na hivyo vikundi vyenu vyakuabudu watuNasema kama Huoni bhasi hata Nikiyasema hapa hutayaonaa...!!!
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Hayo maneno mengine hayana tofauti na Taarabu za Isha MashauziAtajulia wap huyo si ajabu yuko anaishi kwa shemeji yake au yupo kwa wazazi nyumbani
Inaonekana unamskiliza sana huyo mtu eeh..hongera mtoto wa kiume kwa kupenda taarabHayo maneno mengine hayana tofauti na Taarabu za Aissha Mashauzi
Jibu hoja ya Jamaa kwa hoja.. kulikuwa na haja gani ya kuingiza Taarab pale?Inaonekana unamskiliza sana huyo mtu eeh..hongera mtoto wa kiume kwa kupenda taarab
Una uhakika mzee au ndo maiti hajitetei?Hayati alihusika kwenye jaribio lile
Mim tena ndo nmeongelea mambo ya taarabu..kumbukumbu zangu znasema niwew kiongozJibu hoja ya Jamaa kwa hoja.. kulikuwa na haja gani ya kuingiza Taarab pale?
Ulipokosea ni kusema Jamaa sijui anakaa kwa Shemeji yake.. nafikiri ungemjibu kwa Hoja.Mim tena ndo nmeongelea mambo ya taarabu..kumbukumbu zangu znasema niwew kiongoz
Ana cheo gani?
Punguzeni udini mm niliona wote walivyo ongea nikama yanafanana tu ndio maana mh rais alisema mambo ambayo angeweza kuyasema yamekwisha kusemwa hata mzee ruksa ilibidi aangaike kutafuta maneno kwakuwa wengi waliyasema yalikuwa yanafanana tu tusiende kwa mfumo nanizaidi yahuyu yetu yawe masikio nakuwatii viongozi wetu umoja uzalendo utamalakiHebu tuwekeeni hiyo clip ya Mangula. Ndiyo pekee ninayemuamini katika chama changu.
Umasikini sio sifa ya kujivunia. Ni laana kama huoti utajiri wa kuupata kwa mikono yako.Na 'Mangula' ndiye mwana CCM 'kiongozi' kapuku
Wengine wote utasikia ana shule, jengo, fremu ya kupangisha, na magari mbayo amenyanganya chama
Mmeielewa visivyo sana TISS,hata kazi ya mgambo mnasema ni TISS.Atajulia wap huyo si ajabu yuko anaishi kwa shemeji yake au yupo kwa wazazi nyumbani
Kumbe mnamsema yule kibyongo mwenye nundu mgongoni alietoa heshima na familia ya maguKale kajamaa kenye kibiongo hata mie nilikaona.
Halafu kalikuja kutoa heshima za mwisho na kutia mchanga kaburini kwa Mzee eti akiwa kama member wa familia ya Magu.
Yaani kalivyo tu kama kinyamkera lazima uamini kuwa ni kachawi na kashirikina.
Magoti Kibyongo
Roho za wachawi hua wanaabudu munguAnduje itabidi apelekwe nje ubalozini,hamna namna. Ofisi kuu yuko mwanamama,asilete giza,mama ajiachie,hata kupumua. Nafasi ya anduje inafaa mwanamke kwa sasa. Lakini jamaa ni swala 5,roho mbaya inatoka wp
Wagangaa njaa hata ukijinyea wanakusifia wapo kama nyumbuOndoeni porojo hizi kama kuna kitu amefanya Kwanza ndio kazi aliyoomba lkn pia kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kusema eti nafanya makubwa kama kafanya ni yakawaida tu ambayo hata wenzie walifanya! unaweza kulinganisha aliyofanya Mkapa na huyo jamaa yenu mliemfanya kuwa mungu mbona Mkapa hakuwa na hivyo vikundi vyenu vyakuabudu watu
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app