Mzee Mangula ameongea kwa Code, wana ishara tumekuelewa

Halafu ni vema wastaafu wakipewa nafasi wawe wanaongea kwa muhtasari sio mtu anatumia zaidi ya saa moja kutusimulia hadithi hata ambazo hazihusiani na tukio.

Mzee Mangula yeye alipopewa nafasi moja kwa moja alienda kwenye mada na aligonga nyundo kwelikweli.

Mama yetu SASUHA Rais wa JMT yeye alihutubia sio zaidi ya dakika 20 na akaeleweka kiunagaubaga. Hongera sana Mama yetu na hatuna shaka kuwa hekima na busara ulizojaliwa na mwenyezi Mungu vitaendelea kukuonesha kuwa kiongozi wa mfano na kuigwa.

Mangula alisemaje??
 
Leo Mangula kaongea kwa Code nzito sana watu tunaojua saikolojia tumeelewa

Ujumbe wa Mangula ulikua mubashara sana na wenye kumuelewa chamani mmeelewa

Leo nimeprove yangu ya moyoni


Tunaolewa tumemuelewa Mangula na nimeprove yale ya nyuma huko CCM

Kiukweli maneno ya Mangula yamenigusa yamaanisha ujumbe mzito sana kwa taifa

Mpongezeni Mangula kwa kuwa na moyo safi na moyo wa busara na uvumilivu amejitahidi sana

Ameongea kwa code na aidha tafsida ubarikiwe Mangula una moyo safi na bado ukahudhuria msiba huu mzito ubarikiwe

Maneno ya Mangula pia mengine yanatia moyo kwamba ilani itatekelezwa vizuri sana zaidi nimependa kaongea kwa code
Mzee alionekana kuwa na jakamoyo.
 
Leo Mangula kaongea kwa Code nzito sana watu tunaojua saikolojia tumeelewa

Ujumbe wa Mangula ulikua mubashara sana na wenye kumuelewa chamani mmeelewa

Leo nimeprove yangu ya moyoni


Tunaolewa tumemuelewa Mangula na nimeprove yale ya nyuma huko CCM

Kiukweli maneno ya Mangula yamenigusa yamaanisha ujumbe mzito sana kwa taifa

Mpongezeni Mangula kwa kuwa na moyo safi na moyo wa busara na uvumilivu amejitahidi sana

Ameongea kwa code na aidha tafsida ubarikiwe Mangula una moyo safi na bado ukahudhuria msiba huu mzito ubarikiwe

Maneno ya Mangula pia mengine yanatia moyo kwamba ilani itatekelezwa vizuri sana zaidi nimependa kaongea kwa code
Leo Mangula kaongea kwa Code nzito sana watu tunaojua saikolojia tumeelewa

Ujumbe wa Mangula ulikua mubashara sana na wenye kumuelewa chamani mmeelewa

Leo nimeprove yangu ya moyoni

Tunaolewa tumemuelewa Mangula na nimeprove yale ya nyuma huko CCM

Kiukweli maneno ya Mangula yamenigusa yamaanisha ujumbe mzito sana kwa taifa
 
Leo Mangula kaongea kwa Code nzito sana watu tunaojua saikolojia tumeelewa

Ujumbe wa Mangula ulikua mubashara sana na wenye kumuelewa chamani mmeelewa

Leo nimeprove yangu ya moyoni


Tunaolewa tumemuelewa Mangula na nimeprove yale ya nyuma huko CCM

Kiukweli maneno ya Mangula yamenigusa yamaanisha ujumbe mzito sana kwa taifa

Mpongezeni Mangula kwa kuwa na moyo safi na moyo wa busara na uvumilivu amejitahidi sana

Ameongea kwa code na aidha tafsida ubarikiwe Mangula una moyo safi na bado ukahudhuria msiba huu mzito ubarikiwe

Maneno ya Mangula pia mengine yanatia moyo kwamba ilani itatekelezwa vizuri sana zaidi nimependa kaongea kwa code

Huyo mzee tangu achungulie kifo kwa kuwekewa sumu mtazamo wake wa maisha umebadilika kabisa, saizi anatema busara tu.
 
Huyo mzee tangu achungulie kifo kwa kuwekewa sumu mtazamo wake wa maisha umebadilika kabisa, saizi anatema busara tu.
Angeacha msiba upiteee sijui kama Magu angekuwepo angeongea vilee...!!! Mwenzie Jk amekataa kabisaa kuwa hawana ugomvi lakini Mangula duu hata aibu hana kapasua yani

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Mangula anataka aaminishe watu kuwa Ilani itekelezaji wake Haiitaji mtu anaejielewa bali maandishi tu ambapo sio kwelii...!!

Miaka mingapi hiyo Ilani ilikuwepo hayajawahi kufanywa mambo makubwa kama aliyofanya Magufuli? Mzee kimsingi anataka kuonesha Magu hakufanya lolote jipyaa yani of which ni Uongoo na chuki tu. Shame shame..

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Acheni ujinga mambo makubwa yapi!! yakujenga Uwanja wa ndege?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Mangula anataka aaminishe watu kuwa Ilani itekelezaji wake Haiitaji mtu anaejielewa bali maandishi tu ambapo sio kwelii...!!

Miaka mingapi hiyo Ilani ilikuwepo hayajawahi kufanywa mambo makubwa kama aliyofanya Magufuli? Mzee kimsingi anataka kuonesha Magu hakufanya lolote jipyaa yani of which ni Uongoo na chuki tu. Shame shame..

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Mkuu huku siyo uwanja wako.... Twende kuleee......
 
Back
Top Bottom