Halafu ni vema wastaafu wakipewa nafasi wawe wanaongea kwa muhtasari sio mtu anatumia zaidi ya saa moja kutusimulia hadithi hata ambazo hazihusiani na tukio.
Mzee Mangula yeye alipopewa nafasi moja kwa moja alienda kwenye mada na aligonga nyundo kwelikweli.
Mama yetu SASUHA Rais wa JMT yeye alihutubia sio zaidi ya dakika 20 na akaeleweka kiunagaubaga. Hongera sana Mama yetu na hatuna shaka kuwa hekima na busara ulizojaliwa na mwenyezi Mungu vitaendelea kukuonesha kuwa kiongozi wa mfano na kuigwa.
Mzee alionekana kuwa na jakamoyo.Leo Mangula kaongea kwa Code nzito sana watu tunaojua saikolojia tumeelewa
Ujumbe wa Mangula ulikua mubashara sana na wenye kumuelewa chamani mmeelewa
Leo nimeprove yangu ya moyoni
Tunaolewa tumemuelewa Mangula na nimeprove yale ya nyuma huko CCM
Kiukweli maneno ya Mangula yamenigusa yamaanisha ujumbe mzito sana kwa taifa
Mpongezeni Mangula kwa kuwa na moyo safi na moyo wa busara na uvumilivu amejitahidi sana
Ameongea kwa code na aidha tafsida ubarikiwe Mangula una moyo safi na bado ukahudhuria msiba huu mzito ubarikiwe
Maneno ya Mangula pia mengine yanatia moyo kwamba ilani itatekelezwa vizuri sana zaidi nimependa kaongea kwa code
Leo Mangula kaongea kwa Code nzito sana watu tunaojua saikolojia tumeelewaLeo Mangula kaongea kwa Code nzito sana watu tunaojua saikolojia tumeelewa
Ujumbe wa Mangula ulikua mubashara sana na wenye kumuelewa chamani mmeelewa
Leo nimeprove yangu ya moyoni
Tunaolewa tumemuelewa Mangula na nimeprove yale ya nyuma huko CCM
Kiukweli maneno ya Mangula yamenigusa yamaanisha ujumbe mzito sana kwa taifa
Mpongezeni Mangula kwa kuwa na moyo safi na moyo wa busara na uvumilivu amejitahidi sana
Ameongea kwa code na aidha tafsida ubarikiwe Mangula una moyo safi na bado ukahudhuria msiba huu mzito ubarikiwe
Maneno ya Mangula pia mengine yanatia moyo kwamba ilani itatekelezwa vizuri sana zaidi nimependa kaongea kwa code
Humjui poison master.Andunje? ndiyo yupi huyo msaga sumu. Mangula na Kinana ndiyo wanaoijuia siasa ya bongo ndani nje.
Utake kumuua mtu na umpe ulinziWe kichaa hujui hayati ndo alimpa Mangula ulinzi kutoka TISS tangu akiwa hospitali? Pumbavu sana
Leo Mangula kaongea kwa Code nzito sana watu tunaojua saikolojia tumeelewa
Ujumbe wa Mangula ulikua mubashara sana na wenye kumuelewa chamani mmeelewa
Leo nimeprove yangu ya moyoni
Tunaolewa tumemuelewa Mangula na nimeprove yale ya nyuma huko CCM
Kiukweli maneno ya Mangula yamenigusa yamaanisha ujumbe mzito sana kwa taifa
Mpongezeni Mangula kwa kuwa na moyo safi na moyo wa busara na uvumilivu amejitahidi sana
Ameongea kwa code na aidha tafsida ubarikiwe Mangula una moyo safi na bado ukahudhuria msiba huu mzito ubarikiwe
Maneno ya Mangula pia mengine yanatia moyo kwamba ilani itatekelezwa vizuri sana zaidi nimependa kaongea kwa code
KibiongoMzee katuwa Zigo la misumari, halafu nimemuona msibani yule andunje waliesema ndio alimuwekea sumu.
Angeacha msiba upiteee sijui kama Magu angekuwepo angeongea vilee...!!! Mwenzie Jk amekataa kabisaa kuwa hawana ugomvi lakini Mangula duu hata aibu hana kapasua yaniHuyo mzee tangu achungulie kifo kwa kuwekewa sumu mtazamo wake wa maisha umebadilika kabisa, saizi anatema busara tu.
Kwaiyo jk hajafanya kitu sio?Ilani ipo je kuna political will?maana ht JK alikua na Ilani...
Shule za kata umeleta weweIlani ipo je kuna political will?maana ht JK alikua na Ilani...
Acheni ujinga mambo makubwa yapi!! yakujenga Uwanja wa ndege?Mangula anataka aaminishe watu kuwa Ilani itekelezaji wake Haiitaji mtu anaejielewa bali maandishi tu ambapo sio kwelii...!!
Miaka mingapi hiyo Ilani ilikuwepo hayajawahi kufanywa mambo makubwa kama aliyofanya Magufuli? Mzee kimsingi anataka kuonesha Magu hakufanya lolote jipyaa yani of which ni Uongoo na chuki tu. Shame shame..
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Aisee!Angeacha msiba upiteee sijui kama Magu angekuwepo angeongea vilee...!!! Mwenzie Jk amekataa kabisaa kuwa hawana ugomvi lakini Mangula duu hata aibu hana kapasua yani
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Ndo maana kikwete alisema wanasema wasichokijua,Atajulia wap huyo si ajabu yuko anaishi kwa shemeji yake au yupo kwa wazazi nyumbani
Mkuu huku siyo uwanja wako.... Twende kuleee......Mangula anataka aaminishe watu kuwa Ilani itekelezaji wake Haiitaji mtu anaejielewa bali maandishi tu ambapo sio kwelii...!!
Miaka mingapi hiyo Ilani ilikuwepo hayajawahi kufanywa mambo makubwa kama aliyofanya Magufuli? Mzee kimsingi anataka kuonesha Magu hakufanya lolote jipyaa yani of which ni Uongoo na chuki tu. Shame shame..
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Yapo Mengi sana yaniii...!! Kama huyaoni bhasi chuki yako ni kubwaa sana dhidi ya Magufuli..Acheni ujinga mambo makubwa yapi!! yakujenga Uwanja wa ndege?
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Oyaa mkuu wapi hukooMkuu huku siyo uwanja wako.... Twende kuleee......
Andika hapa sote tujue kipi kigeni amefanya waliomranguliaYapo Mengi sana yaniii...!! Kama huyaoni bhasi chuki yako ni kubwaa sana dhidi ya Magufuli..
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Nasema kama Huoni bhasi hata Nikiyasema hapa hutayaonaa...!!!Andika hapa sote tujue kipi kigeni amefanya waliomrangulia
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app