Huyo hapoNaona mnaongea kimafumbo kama mimama mishangingi ya uswahilini andunje ndio nani?
Huyo hapoNaona mnaongea kimafumbo kama mimama mishangingi ya uswahilini andunje ndio nani?
Kuna quote moja ya Jasusi inasema hivi” unlike stomach, brain does not warn you when it is empty”
Hajaelewa ht ulichoongea..... Codes zimempiga chengaNimeshangilia wapi kifo cha JPM?
Jinsi maccm wana roho mbaya unaweza kukuta anamvizia mzee wa watu ammalizie.
Dah..jf ina watu wanafki sana asee kwa hiyo umetoa chozi banduguNimetokwa na chozi kw msg yako hii, kwel wema wanateseka dunian hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Napendekeza mama ikimpendeza anafaa kuwa makamu wake kwa wakati huu.Na 'Mangula' ndiye mwana CCM 'kiongozi' kapuku
Wengine wote utasikia ana shule, jengo, fremu ya kupangisha, na magari mbayo amenyanganya chama
Ndio kijitu gani tena hiki,sijawahi kukiona wala kukisikia
Na 'Mangula' ndiye mwana CCM 'kiongozi' kapuku
Wengine wote utasikia ana shule, jengo, fremu ya kupangisha, na magari mbayo amenyanganya chamahi
Katika kundi la familia!Mzee katuwa Zigo la misumari, halafu nimemuona msibani yule andunje waliesema ndio alimuwekea sumu.
Comrade Magoti siyo wa mchezo mchezoMzee katuwa Zigo la misumari, halafu nimemuona msibani yule andunje waliesema ndio alimuwekea sumu.
Yule mi kweli simuelewi, kuna sehemu unamuona kala suti anaongoza wengine, nilimuona pale uhuru pia na Mwanza, jana nimemuona akirusha udongo pia.....anewei inawezekana ni multipurposeMzee katuwa Zigo la misumari, halafu nimemuona msibani yule andunje waliesema ndio alimuwekea sumu.
Naandika bila kumung'unya maneno Mangula anastahili adhabu kubwa kabisa hapa duniani na hata mbinguni.
Mangula Ni miongoni mwa wauaji,dhulumati na watu katili kabisa waliowahi kuishi katika dunia hi,hastahili huruma yoyote,Ni mnafiki mbele za Mungu na mbele za binadamu,ameshirki dhambi nyingi Sana katika nchi hii kwa maslahi ya CCM sio taifa.
Wizi wa EPA,
Wizi au chaguzi zote 2015 za marudio,mitaa na chaguzi za mkuu za 2015 na 2020.
Watu wamedhulumiwa majimbo,wametekwa,wamepotezwa,wameuwawa,matokeo feki wizi wa kura,yeye kapiga kimya tu.
TL kapigwa marisasi yumo chamani tu.
Alijua Nia ovu ya kutaka kumwondoa Do Slaa,kapiga kimya tu,na Slaa alimtaja.
Huyu Mzee Ni mnafiki na anaishi ndani ya genge hatari Kabisa hapa duniani yaani CCM.
Hana usafi wowote.huwezi ukawa msafi kwa CCM tu huku wengine wanateswa na CCM.
Kuwekeana ya panya ndani ya CCM ndio utamaduni wao wakizinguana huyo Mwendazake mwenyewe alishaonjeshwa ,chezea Mafioso wewe.!
Mangula sio msafi anatuhuma za wizi wa EPA.