Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,123
kuna hekaya za ALi Nacha nyingi sana ktk huu uzi.. lakini mimi binafsi kumbukizi bora kabisa ni Mangula na kalamu yake ya Sh mia 3 pale Dodoma vikao vya uteuzi 2015.
Labda ungeelezea na hatua alizowachukulia hao waliompa cha panya mzee mangulaBahati mbaya hata huyo andunje simjui...mm nilikua naweka rekodi clear BM na mwendazake zilikua haziiivi kabisa JM na NN wenyewe walijishusha wakaomba radhi ila BM aling'ata meno hadi mwendazake anajiondekea sijui hata kama katuma salamu za pole kweli jasusi ana moyo kuntu mwee, Sababu ya kueleza haya yote ni kuwa mtoa comment hapo juu alitaka kumuhusisha mwendazake na tuhuma za Mangula kuwekewa sumu kitu ambacho si kweli.Baada tu ya kusikia mzee kapigwa ya panya mara moja aliagiza mzee apewe ulinzi na G..U walitekeleza hilo, angekua anataka kumkalisha asingekua na haja ya kumpa ulinzi....Sipendi uongo mimi bwana Chura haya tuendelee na mengineyo sasa.
Alisema nini wewe acha kuzunguka zunguka! Watu tulikuwa hatuna muda wa kupoteza kuangalia TVLeo mangula kaongea kwa Code nzito sana watu tunaojua saikolojia tumeelewa
Ujumbe wa Mangula ulikua mubashara sana na wenye kumelewa chamani mmelewa
Leo nimeprove yangu ya moyoni
Tunaolewa tumemuelewa mangula na nimeprove yale ya nyuma huko ccm
Kiukweli maneno ya mangula yamenigusa yamaanisha ujumbe mzito sana kwa taifa
Mpongezeni mangula kwa kuwa na moyo safi na moyo wa busara na uvumilivu amejitahidi sana
Ameongea kwa code na aidha tafsida ubarikiwe mangula una moyo safi na bado ukahudhuria msiba huu mzito ubarikiwe
Maneno ya mangula pia mengine yanatia moyo kwamba ilani itatekelezwa vizuri sana zaidi nimependa kaongea kwa code
JPM alikuwa mtekelezajiMangula anataka aaminishe watu kuwa Ilani itekelezaji wake Haiitaji mtu anaejielewa bali maandishi tu ambapo sio kwelii...!! Miaka mingapi hiyo Ilani ilikuwepo hayajawahi kufanywa mambo makubwa kama aliyofanya Magu??? Mzee kimsingi anataka kuonesha Magu hakufanya lolote jipyaa yani of which ni Uongoo na chuki tu. Shame shame..
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Mzee katuwa Zigo la misumari, halafu nimemuona msibani yule andunje waliesema ndio alimuwekea sumu.
Kapicha Ka andunje jamaniHalaf andunje alikuaga mwlm Nyerere university
Hawawezi Mungu sio Magufuli. ova!!Jinsi maccm wana roho mbaya unaweza kukuta anamvizia mzee wa watu ammalizie.
Uzuri ni kwamba hata wauaji nao wanakufaKale kajamaa kenye kibiongo hata mie nilikaona.
Halafu kalikuja kutoa heshima za mwisho na kutia mchanga kaburini kwa Mzee eti akiwa kama member wa familia ya Magu.
Yaani kalivyo tu kama kinyamkera lazima uamini kuwa ni kachawi na kashirikina.
Wewe umenielewa vzr sana, ndiyo maana nimesema mwanachama ni yeye peke yake wengine ni watu kibaoNa 'Mangula' ndiye mwana CCM 'kiongozi' kapuku
Wengine wote utasikia ana shule, jengo, fremu ya kupangisha, na magari mbayo amenyanganya chama



Bahati mbaya hata huyo andunje simjui...mm nilikua naweka rekodi clear BM na mwendazake zilikua haziiivi kabisa JM na NN wenyewe walijishusha wakaomba radhi ila BM aling'ata meno hadi mwendazake anajiondekea sijui hata kama katuma salamu za pole kweli jasusi ana moyo kuntu mwee, Sababu ya kueleza haya yote ni kuwa mtoa comment hapo juu alitaka kumuhusisha mwendazake na tuhuma za Mangula kuwekewa sumu kitu ambacho si kweli.Baada tu ya kusikia mzee kapigwa ya panya mara moja aliagiza mzee apewe ulinzi na G..U walitekeleza hilo, angekua anataka kumkalisha asingekua na haja ya kumpa ulinzi....Sipendi uongo mimi bwana Chura haya tuendelee na mengineyo sasa.
Yule andunje anaitwa Mr. Magoti.Kale kajamaa kenye kibiongo hata mie nilikaona.
Halafu kalikuja kutoa heshima za mwisho na kutia mchanga kaburini kwa Mzee eti akiwa kama member wa familia ya Magu.
Yaani kalivyo tu kama kinyamkera lazima uamini kuwa ni kachawi na kashirikina.
Wanamuita Comrade MagotiNaona mnaongea kimafumbo kama mimama mishangingi ya uswahilini andunje ndio nani?