Bahati mbaya hata huyo andunje simjui...mm nilikua naweka rekodi clear BM na mwendazake zilikua haziiivi kabisa JM na NN wenyewe walijishusha wakaomba radhi ila BM aling'ata meno hadi mwendazake anajiondekea sijui hata kama katuma salamu za pole kweli jasusi ana moyo kuntu mwee

, Sababu ya kueleza haya yote ni kuwa mtoa comment hapo juu alitaka kumuhusisha mwendazake na tuhuma za Mangula kuwekewa sumu kitu ambacho si kweli.Baada tu ya kusikia mzee kapigwa ya panya mara moja aliagiza mzee apewe ulinzi na G..U walitekeleza hilo, angekua anataka kumkalisha asingekua na haja ya kumpa ulinzi....Sipendi uongo mimi bwana Chura haya tuendelee na mengineyo sasa.