johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,959
Nimeyakumbuka ghafla maneno ya Katibu mkuu mstaafu wa CCM mzee Makamba katika moja ya mikutano mikuu ya CCM, alisema ".....kiukweli Dr Kikwete ana Ngekewa na chama chetu kinapendwa kwa sababu yake"
Sina hakika na ukweli au usahihi wa maneno ya mzee Makamba ila nimeyakumbuka tu.
Maendeleo hayana vyama!
Sina hakika na ukweli au usahihi wa maneno ya mzee Makamba ila nimeyakumbuka tu.
Maendeleo hayana vyama!