johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,022
- 142,062
Mzee Makamba amesema hana tatizo na uratibu wa kurejeshwa Kofia 2 kwa sababu kuna Watu Wana umuhimu wa ziada katika maeneo mbalimbali
Mzee Makamba amesema mtu anaweza kutumbuliwa Kwenye nafasi ya Uwaziri lakini kutukana na potential yake Chama kitauhitaji utaalamu wake
Mafanikio ya CCM ni makubwa ndio sababu Huduma za kijamii kama Umeme na Maji zimeimarika hata kama Siyo kwa 100% kwani hata nyumbani kwako hauwezi kukamilisha kila Kitu, amesisitiza Karibu mkuu mstaafu wa CCM
Chanzo: Ayo tv
Mzee Makamba amesema mtu anaweza kutumbuliwa Kwenye nafasi ya Uwaziri lakini kutukana na potential yake Chama kitauhitaji utaalamu wake
Mafanikio ya CCM ni makubwa ndio sababu Huduma za kijamii kama Umeme na Maji zimeimarika hata kama Siyo kwa 100% kwani hata nyumbani kwako hauwezi kukamilisha kila Kitu, amesisitiza Karibu mkuu mstaafu wa CCM
Chanzo: Ayo tv