ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,023
- 49,666
Mzee Makamba na Katibu Mkuu Mstaafu wa ccm amehoji kama kuna mtu ana mashaka tena na uweso wa kiutendaji wa Rais Samia kulingana na hatua Anazochukua.
Makamba amesema sio Haki kumfundisha kazi mh.Rais na hivyo aachwe afanye vile inavyostahili na anavyoona inafaa Kwa maslahi ya Nchi..
My Take.
Binafsi Sina shaka na uwezo wa Rais na kiukweli ana sifa moja kubwa kabisa ya kutotenda Kwa pressure Wala mihemko.Mwendazake alishindwa kabisa kudhibiti mihemko na pambio za wapambe..
Huku wanakusifia kule wanaiba
Makamba amesema sio Haki kumfundisha kazi mh.Rais na hivyo aachwe afanye vile inavyostahili na anavyoona inafaa Kwa maslahi ya Nchi..
My Take.
Binafsi Sina shaka na uwezo wa Rais na kiukweli ana sifa moja kubwa kabisa ya kutotenda Kwa pressure Wala mihemko.Mwendazake alishindwa kabisa kudhibiti mihemko na pambio za wapambe..
Huku wanakusifia kule wanaiba