Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.
mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.
Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.
mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.
Majungu, na ujinga tu.
Ndo maana mnaona wakongwe siku hizi tunakaa pembeni. Vijana mnafanya JF kama jukwaa la majungu na unafiki.
- Kwanini hao watu hawafai?
- Luhanjo ndie mwenye mamlaka ya mwisho kuwaweka hao watu na sio rais?
- Nani ulitaka apewe nafasi hizo au mojawapo?
- Usaili ulifanyika na wenye sifa wakatupwa?
- Sifa kwako ni nini? Ma PHD yaliyojazana serikalini huko na hamna kitu au UCHAPA kazi?
Mods hawa waleta hoja za vihoja kama hawa wakishondwa kujibu maswali naomba mume mnaifungilia mbali TOPIC.
Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.
mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.
Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.
mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.
JF saa nyingine inatumika vibaya sana,hivi leo mtu akisema Mbilinyi anabebwa si unafiki mkubwa tu!jamaa kawa Markerting Director kwa zaidi ya miaka minne hakuna aliekuja kumkosoa, bado kakaimu muda wote huu Ukurugenzi Mkuu hakuna aliemkosoa leo opportunity ya kukua iko mbele yake tayari majungu!acheni hii tabia ni umaskini mkubwa wa kifikra! Watu kama hawafai toa maelezo ubovu wao ni nini sio kujenga hoja ya kutafuta cheap popularity huku unaharibia watu ndoto zao. Nimemtolea mfana Mbilinyi kwa kuwa nishakutana nae katika harakati za kikazi na najua alivyo aggresive.
Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.
mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.