Mzee Luhanjo na pigo la mwisho PSPF na TIC

Haahaaa! Hii nchi bwana kweli kuna wenyewe ambao ndio kina sisi,lol!!!
 
Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.

mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.

Huyu mzee nasikia alishiriki katika kuhakikisha Nehemia Mchechu anakuwa mkurugenzi NHC,
Nimeuangalia ufainisi wa nehemia na sasa nakubaliana na mapendekezo yake.
 
JF saa nyingine inatumika vibaya sana,hivi leo mtu akisema Mbilinyi anabebwa si unafiki mkubwa tu!jamaa kawa Markerting Director kwa zaidi ya miaka minne hakuna aliekuja kumkosoa, bado kakaimu muda wote huu Ukurugenzi Mkuu hakuna aliemkosoa leo opportunity ya kukua iko mbele yake tayari majungu!acheni hii tabia ni umaskini mkubwa wa kifikra! Watu kama hawafai toa maelezo ubovu wao ni nini sio kujenga hoja ya kutafuta cheap popularity huku unaharibia watu ndoto zao. Nimemtolea mfana Mbilinyi kwa kuwa nishakutana nae katika harakati za kikazi na najua alivyo aggresive.
 
Uchunguzi wa kamati ya bunge umemtia hatiani Luhanjo, sasa sielewi inakuwaje huyu mzee bado yuko ofisini hadi sasa?
Kwa vyovyote vile, si sahihi kabisa kwa Luhanjo kufanya maamuzi yoyote ya kiutawala maana tayari ameshakutwa na hatia na bunge.
 
Katengeneza skeleton. Kashindwa kuijaza nyama za kutosha hoja yake. Mi nadhani PSPF na TIC wana vigezo vya mtu wanayemtaka. So inategemea na panel ya usaili.Mambo ya umri,uzoefu,na mengineyo ambayo yanajionyesha wakati wa usaili. Sasa suala lisilofaa ni kama hilo la kumkingia kifua mtu apate hiyo post,regardless AWE ana vigezo ama ASIWE navyo! Suala ni kwamba,inabidi kuwa na level ground of competing. Anyways.. Labda angeanza kwa kuziita ni tetesi.
 
Ninachofahamu ni kwamba ofisi ya Vetting iko chini ya Katibu Mkuu Kiongozi, hivyo basi hakuna nafasi ya juu kama zilizotajwa itapita bila ya ofisi yake kuhusishwa.

Nadhani ni utaratibu mzuri sana.
 
mi nahisi huyu positive ndo masha au mbilinyi,ona anavyokimbilia kujitetea,tusimshambulie mtoa hoja,nani asiyejua mamvi ndo zake kuweka watu wake?yawezekana kuna walakini,tusubiri mtoa hoja arudi hewani na tusimtuhumu
 
Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.

mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.

Mkuu kwani hawa jamaa yaani Masha Mshomba na Raymond Mbilinyi wana matatizo gani? Hawa ni watu ambao wamekuwepo kwenye hizo taasisi kwa muda mrefu na wana vyeo. Wakurugenzi wakuu wa Idara hizo wamestaafu sasa kuna ubaya gani hao jamaa kutwaa hayo madaraka? Au una habari zaidi utusaidie.
 
Majungu, na ujinga tu.

Ndo maana mnaona wakongwe siku hizi tunakaa pembeni. Vijana mnafanya JF kama jukwaa la majungu na unafiki.
- Kwanini hao watu hawafai?
- Luhanjo ndie mwenye mamlaka ya mwisho kuwaweka hao watu na sio rais?
- Nani ulitaka apewe nafasi hizo au mojawapo?
- Usaili ulifanyika na wenye sifa wakatupwa?
- Sifa kwako ni nini? Ma PHD yaliyojazana serikalini huko na hamna kitu au UCHAPA kazi?

Mods hawa waleta hoja za vihoja kama hawa wakishondwa kujibu maswali naomba mume mnaifungilia mbali TOPIC.

Join Date : 17th November 2011

Posts : 23
Rep Power : 0

Duh kweli, Hata mimi naona.
 
Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.

mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.

itapima urefu wa kina cha maji japo anajua hawezi kuogelea mpaka tapu,shughuli anayo
 
Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.

mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.

Masha HUYU aliyedondoka ubunge?
 
JF saa nyingine inatumika vibaya sana,hivi leo mtu akisema Mbilinyi anabebwa si unafiki mkubwa tu!jamaa kawa Markerting Director kwa zaidi ya miaka minne hakuna aliekuja kumkosoa, bado kakaimu muda wote huu Ukurugenzi Mkuu hakuna aliemkosoa leo opportunity ya kukua iko mbele yake tayari majungu!acheni hii tabia ni umaskini mkubwa wa kifikra! Watu kama hawafai toa maelezo ubovu wao ni nini sio kujenga hoja ya kutafuta cheap popularity huku unaharibia watu ndoto zao. Nimemtolea mfana Mbilinyi kwa kuwa nishakutana nae katika harakati za kikazi na najua alivyo aggresive.

mkuu ni kweli kabisa kwani luhanjo anawateua hao watendaji wakuu wa taasisi za umma?kama mtu ni mchapa kazi pia anasifa na ujuzi unaotakiwa acha apewe nafasi awatumikie watz
 
Utaratibu wa kuteua wakuu wa hizo taasisi (TIC na PSPF) ukoje? Naomba kufahamishwa.
 
Huu ni wivu wa wazi au ni kuwa mtoa hoja ana interest na nafasi kati hizi. Jf sidhani ni kijiwe cha majungu. Mbilinyi ni mchapakazi mwacheni atende kazi wapendwa haya majungu ndugu zangu tz ya miaka 50 haitaendelea. Mtoa hoja fanya utafiti kuliko kufitinisha watu
 
Akiwa amebakiza masiku machache sana katibu mkuu kiongozi mzee Luhanjo yuko katika heka heka kubwa kuwaweka watu wake katika nafasi ya ukurugezi mkuu wa PSPF na TIC, Mzee Luhanjo pale PSPF anahaha kumuweka bwana Masha na Kule kituo cha uwekezaji TIC anahaha kumuweka bwana Mbilinyi.

mzee Luhanjo anapambana sana kuona haya masiku machache yaliyobaki katika kiti chake anafanikiwa mpango wake huo mbovu. wana JF habari ndio hiyo ya babu yetu mamvi.


Sabato Masalia;

nakusalimu kwa unyenyekevu mkuu kayika jina la JAMIIFORUM.

Pia kwa heshima kuu ya kuhani wake INVISIBLE MAN!

ambapo katika yeye wazo hili la makutano ya vichwa vinavyofanya kazi LILIPANDWA, LIKAMEA, LIKAKUA....

likakua na kushiriki katika UKOMBOZI WA FIKRA ZA WATANZANIA...

na likavifunika viblog vyenye kupoteza muda kuonyesha VISUTI VYA WAKUBWA NA DHIFA ZA IKULU...........

hata likawa kero kwa wakubwa hadi kuwa agenda ZA KAMATI KUU YA CCM!!!

itakuwa hivyo mpaka mwisho!!

na kama ilivyo ada, TUNASEMA HAKI, HATUSINGIZII, HATUFANYI MAJUNGU......

Ewe invisible, uendelee kutuombea, bila kupiga ban za moja kwa moja...

ili UKABILA, UDINI NA NI WAPI UNATOKEA visiendelee kutunyemelea......

hata FAIZAFOXY GENUIS BRAIN, MALARIA SUGU, MKIGOMA NAPE na wenzao waache kufikiria kutumia MASABURI......

na kujirekebisha kadiri wanavyoshauriwa na wenye akili, MITUME WA JF

na KINGWANGALAH aendelee kupata Ujasiri.

naye awashirikishe wenZie katika TUNU NJEMA ZA JAMII FORUMS.....

kwa ajili ya mama yetu TANZANIA TUNAOMBA HAYA!

NA WOTE TUSEME AMEN!!!

KAKA,

kuzingatia tunu hizi tulitegemea ulipoipost hii thread ufafanue:

i. je hawa jama hawastahili hizi post?

ii. je CV zao zinasemaje? hawana credentials? je background yao inasemaje? je ni nani anastahili nafasi hizo kuliko hawa waliotajwa?

nachelea kutamka kuwa kama haya hayapatiwi majibu basi tutakuwa tumepoteza muda kukatiza kwenye hii thread!

naomba kuwakilisha!
 
kulalamikalamika ni udhaifu mkubwa sana,sipendi kweli watu wanaolalamika lalamika tena kwa hisia tu!
 
Huyo Mbilinyi hata kiingereza chake, cha Lowassa kina nafuu mara mia!
 
Back
Top Bottom