johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Wakati anapigiwa deki hakuwa tapeli wa kisiasa ila kurudi alikokuwa kawa tapeli wa kisiasa?Mzee Wa mvua za thailendi.tapeli Wa kisiasa
Aya ndo maisha napenda sana siasa za kistarabu pongezi zangu zikufikie popote ulipo Mh lowasa katika siasa hakuna adui au rafiki wa kudumWakati anapigiwa deki hakuwa tapeli wa kisiasa ila kurudi alikokuwa kawa tapeli wa kisiasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mgombea urais wa CHADEMA mwaka 2015 amekitakia chama chake cha zamani uchaguzi mwema na kuwakumbusha kuwa zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi unaweza kuupata upepo wa kisulisuli.
Siasa sio uadui
Maendeleo hayana vyama!
Tutamkumbuka kwa kuwapa wafuasi wa CHADEMA adhabu ya kuzungusha mikono na kupiga deki barabara kila mara!Mzee kishachuja huyo
Sent from my SM-A207F using Tapatalk
Kama angekuwa mwanasiasa mayai asingeweza kuwapa adhabu wafuasi wa CHADEMA kuzungusha mikono na kupiga deki barabara mara kwa mara!Hawa ndiyo wale tunaowaita wanasiasa mayai mayai
Umenena vema!Kama angekuwa mwanasiasa mayai asingeweza kuwapa adhabu wafuasi wa CHADEMA kuzungusha mikono na kupiga deki barabara mara kwa mara!
Unaujua upepo wa kisulisuli manka!Mzee ana haki ya kikatiba kuongea na kutoa mawazo yake.
Na wafuasi wa Lumumba hadi leo mna adhabu ya kuzungusha viuno, kupiga push-ups , kukuna nazi na ujinga ujinga mwingi tuView attachment 1294288Tutamkumbuka kwa kuwapa wafuasi wa CHADEMA adhabu ya kuzungusha mikono na kupiga deki barabara kila mara!
Mzee ana haki ya kikatiba kuongea na kutoa mawazo yake.
Maccm mado mnakunishwa nazi kama mazombi vileTutamkumbuka kwa kuwapa wafuasi wa CHADEMA adhabu ya kuzungusha mikono na kupiga deki barabara kila mara!
Hii ni awamu ya mzee Mgaya...yy akachunge Ng'ombe...Mgombea urais wa CHADEMA mwaka 2015 amekitakia chama chake cha zamani uchaguzi mwema na kuwakumbusha kuwa zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi unaweza kuupata upepo wa kisulisuli.
Siasa sio uadui
Maendeleo hayana vyama!
Hawa ni nyanya hawafai wanasiasa kama hawaHawa ndiyo wale tunaowaita wanasiasa mayai mayai