Mzee Lowassa awatakia uchaguzi mwema CHADEMA. Zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi hutokea kisulisuli!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,137
Mgombea urais wa CHADEMA mwaka 2015 amekitakia chama chake cha zamani uchaguzi mwema na kuwakumbusha kuwa zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi unaweza kuupata upepo wa kisulisuli.

Siasa sio uadui

Maendeleo hayana vyama!
 
Mgombea urais wa CHADEMA mwaka 2015 amekitakia chama chake cha zamani uchaguzi mwema na kuwakumbusha kuwa zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi unaweza kuupata upepo wa kisulisuli.

Siasa sio uadui

Maendeleo hayana vyama!

Hawa ndiyo wale tunaowaita wanasiasa mayai mayai
 
Mgombea urais wa CHADEMA mwaka 2015 amekitakia chama chake cha zamani uchaguzi mwema na kuwakumbusha kuwa zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi unaweza kuupata upepo wa kisulisuli.

Siasa sio uadui

Maendeleo hayana vyama!
Hii ni awamu ya mzee Mgaya...yy akachunge Ng'ombe...

Mzee Mgaya, atamsindikiza mzee Makamba ktk ubatizo wa moto...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lowassa ukiondoa kuwa alikuwa kiongozi zao la wapigaji na mfumo wa kifisadi wa ccm ila ni kiongozi ambaya hana visasi.

Utawala wake ungekuwa kama wa Kikwete ushikaji mwingi na mianya ya upigaji ya kimfumo.

Ila all in all nilipenda alivyoachana na siasa kama nilivyo shauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…