SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Alikuambia wapi habari hizi? Yaani wewe tu ndiye unayo habari hii?Mgombea urais wa CHADEMA mwaka 2015 amekitakia chama chake cha zamani uchaguzi mwema na kuwakumbusha kuwa zikutanapo pepo za Kaskazi na Kusi unaweza kuupata upepo wa kisulisuli.
Siasa sio uadui
Maendeleo hayana vyama!
Sent using Jamii Forums mobile app