Col FEN
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 327
- 460
UtotoWote ni wagonjwa,,mmoja yuko ubeligiji mwingine Dar. Kichwani wamejaa pain killer.wacheni wapone
UtotoWote ni wagonjwa,,mmoja yuko ubeligiji mwingine Dar. Kichwani wamejaa pain killer.wacheni wapone
AchaUjinga. Kingunge ndiye Baba wa CCM, mtoto hawezi mpa laana baba. KINGUNGE ANAJITAMBUA ni Mzee wa umri lakini akili yake bado Kijana.Kingunge atajidhalilisha sana asiporudi CCM.....CCM imemlea mpaka kawa babu leo anakimbilia kwa wapiga dili? ajitathmini vizuri
Kwa hiyo unamaanisha angekuwa mnafiki kama ulivyo wewe, lkn ujue wengine hawakuzaliwa hivyo.I agree with you....Ni kosa kubwa kimaisha...Kwa mtu kama Kingunge kufanya kosa kama lile in life tena basi very late in life, binafsi ilinishangaza mno ....There was no point at all ya/kwa yeye kuhama CCM...Angeweza kubaki CCM hata kama ilimuudhi pengine, na akanyamaza kimya asiseme kitu....
Nimeipenda hii .. TANZANIA IS BIGGER THAT INDIVIDUAL.......Acheni kutumia Nguvu na Jeshi ili uone nini Watanzania wanataka....... Acha kutujaza ujinga wakati mmebaka Demokrasi.Who cares? Amkubali au asimkubali hizo ni fikra zake.
Alimkubali Lowassa mpaka akajiondoa CCM na kumfuata CHADEMA, what happened?
Tanzania is bigger than an individual opinion and twisted mind.
Kilicho cha muhimu kwa sasa ni kumuombea ili apone haraka na kurudi katika hali yake yenye afya njema.
Kwa hiyo unamaanisha angekuwa mnafiki kama ulivyo wewe, lkn ujue wengine hawakuzaliwa hivyo.
Ni wazi unafiki ni sehemu ya itikadi yenu hilo liko wazi wala siku hizi haliihitaji mjadala!
Kama ndugu yako akiwa mchawi na ukamwambia aache uchawi sidhani kama utaendelea kufungamana nae...Kingunge atajidhalilisha sana asiporudi CCM.....CCM imemlea mpaka kawa babu leo anakimbilia kwa wapiga dili? ajitathmini vizuri
Kama wanapanga kuongeza muda kwa kubadilisha katiba naona ni Bora Lisu arudi mapema.
Mawazo ya kipumbavu. Kila MTU ana Uhuru wa kujiunga na Chama chochote kama ambavyo wewe umefanya.Kingunge atajidhalilisha sana asiporudi CCM.....CCM imemlea mpaka kawa babu leo anakimbilia kwa wapiga dili? ajitathmini vizuri
....Usisahau na wewe ni mgonjwa unayetembeaWote ni wagonjwa,,mmoja yuko ubeligiji mwingine Dar. Kichwani wamejaa pain killer.wacheni wapone
huu ndio hatari zaidiNa mwingine anaugua frastresheni zisizoisha!!
Kuna wengine wanafunuliwa siku za mwishoni. Hakuna mwenye ahadi ni lini atafunuliwa ukweli.Kingunge atajidhalilisha sana asiporudi CCM.....CCM imemlea mpaka kawa babu leo anakimbilia kwa wapiga dili? ajitathmini vizuri
Naheshimu maoni yako yasiyo na heshima ni matumaini yangu utajikita kutoa hoja zenye mashiko.Who cares? Amkubali au asimkubali hizo ni fikra zake.
Alimkubali Lowassa mpaka akajiondoa CCM na kumfuata CHADEMA, what happened?
Tanzania is bigger than an individual opinion and twisted mind.
Kilicho cha muhimu kwa sasa ni kumuombea ili apone haraka na kurudi katika hali yake yenye afya njema.