Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,046
- 5,092
Hataki kuwa mnafiki! Tatizo kubwa la Tanzania ni unafiki wa wazee wa CCM. Watu wanateswa na wao wanaangalia tu kwa kuwa wao hawaguswi na matesoI agree with you....Ni kosa kubwa kimaisha...Kwa mtu kama Kingunge kufanya kosa kama lile in life tena basi very late in life, binafsi ilinishangaza mno ....There was no point at all ya/kwa yeye kuhama CCM...Angeweza kubaki CCM hata kama ilimuudhi pengine, na akanyamaza kimya asiseme kitu....