Tatizo ni ubabe naona huku wanapenda kulazimisha kwa kutoa amri hii inawafanya watawala kuona hawawezi kutii amri.
Lazima mmoja ashuke chini vinginevyo hayo mapambano hayatakuwa na MWISHO kwakuwa ukimuachia huru atazidi kukuvuruga Mpaka utashindwa kujenga uchumi pia atasema yeye Yuko juu ya Serikali akitoa amri wanaufyata.
Huku Nako kesi itaimarishwa ILI kuiaminisha Dunia kwamba Kuna ushahidi usio acha shaka.
Sisi tusio na Cha kupoteza tunaangalia na kumuomba Mungu atusimamie ILI kama kweli ametenda makosa asiachwe na kinyume chake.
Kuzuia muhalifu mmoja asilete shida ILI mamilioni ya watu wapone ni jambo jema kabisa.
Lazima mmoja ashuke chini vinginevyo hayo mapambano hayatakuwa na MWISHO kwakuwa ukimuachia huru atazidi kukuvuruga Mpaka utashindwa kujenga uchumi pia atasema yeye Yuko juu ya Serikali akitoa amri wanaufyata.
Huku Nako kesi itaimarishwa ILI kuiaminisha Dunia kwamba Kuna ushahidi usio acha shaka.
Sisi tusio na Cha kupoteza tunaangalia na kumuomba Mungu atusimamie ILI kama kweli ametenda makosa asiachwe na kinyume chake.
Kuzuia muhalifu mmoja asilete shida ILI mamilioni ya watu wapone ni jambo jema kabisa.