Mzee Kikwete leo Mbagala umenena vyema kuwa miradi mingi ya awamu hii uliiasisi wewe japo wa gesi ya Mtwara hujauongelea

Whatever the case, I no longer need any *****n discussion with a punk slut as you are. So stop quoting me and mind your own business.
Mkuu mbona uko na Gubu sana,haipendezi mazee mtoto wa kiume kuwa na gubu kwa level hzo.
 
Tutamkumbuka Kikwete kwasababu tumegundua UTU ni Bora kulikoMALI.

Ni Bora uwe na Rias Fisadi ila mwenye UTU.

Sasa hivi watu wanapigania tena UHURU wao, HAKI, Furaha na UHAI.

Mali zitakuja baadaye.
Ni kichaa tuu anayeweza kubariki ufisadi.Hata hivyo Maendeleo yataletwa na kundi la wachache na wenye uzalendo madhubuti,Tulia Nchi tuijenge kwanza hayo ya ufisadi sio kipaumbele kwa sasa
 
Ubabe wa Magu unapelekea taarifa za wizi unaomuhusu yeye kutowekwa hadharani,kama hujui mpaka sasa pesa nyingi za baadhi ya miradi zimehamishiwa kwenye mafungu yasio kaguliwa mfano pesa zilizotumika kwenye manunuzi ya ndege,
Kilichomponza Professor Assad ni uwazi wake wakati utawala huu hautaki mabaya yake yafahamike reff 1.5trln.
Watu wanazungumza humu habari ya Mayanga Construction huwa hufwatilii.Jakaya anaonekana mwizi kwakuwa aliruhusu uwazi ila nakuhakikishia inawezekana kabisa utawala huu ukawa kinara wa wizi wa pesa za uma kuliko utawala wowote.
Jiulize kwanini utawala huu unaongoza kwa ukiukwaji wa procurement low,rules and rugulation na anaefanya haya ni huyu unaemsifia?
You are right for sure. Time will tell, Haiwezekani serikali iliyosafi iweke bunge gizani, ilisema mikataba ya madini ingesainiwa hadharani haijawa hivyo, ununuzi wa miradi mikubwa inafanywa kwa VOTE isiyokaguliwa ili kama kuna ufisadi usijulikane, vyombo vya habari za kichunguzi vyote vimefungiwa, maana yake ni nini?
 
Hamkosoi,mnajararibu kukwamisha,wakati mwingine kinawafaa hicho cha mtemakuni!
Kama ndivyo basi serikali yenu Ni dhaifu ambayo Inaweza kukwamishwa tu na maneno ya wapinzani!
Ukitaka kufahamu udhaifu wa mtu angalia reactions zake hasa pale unapomkosoa atapoteza confidence na kukuchukia balaa
 
You are right for sure. Time will tell, Haiwezekani serikali iliyosafi iweke bunge gizani, ilisema mikataba ya madini ingesainiwa hadharani haijawa hivyo, ununuzi wa miradi mikubwa inafanywa kwa VOTE isiyokaguliwa ili kama kuna ufisadi usijulikane, vyombo vya habari za kichunguzi vyote vimefungiwa, maana yake ni nini?
Ni ufisadi tu brother,nothing more-Media zilizo huru hazijawahi pendwa na wapenda ufisadi
 
Mkuu watu wana chuki binafsi na Magufuli...sio CCM bali ni Magufuli.

Umeongea vyema kabisa. Hii ndio hali halisi, unajua why?
Magu wakati akifanya kampeni 2015 alituaminisha tumchague yeye kama yeye na sio yeye kama ccm kwa maana ccm iliwaghadhabisha wananchi.
Akaaminiwa kwa maneno yake, baada ya kuongoza mitano hii hali imekuwa tofauti na ahadi zake na hivyo watu kuona ni heri ccm kuliko mtu huyu
 
9
Kama ndivyo basi serikali yenu Ni dhaifu ambayo Inaweza kukwamishwa tu na maneno ya wapinzani!
Ukitaka kufahamu udhaifu wa mtu angalia reactions zake hasa pale unapomkosoa atapoteza confidence na kukuchukia balaa
Sawa,kuweni na uvumilivu tu, nina Imani serikali yenu itakapoingia, itamfurahisha kila raia.Kwakua hayo ndo mawazo yako😃.
 
Umeongea vyema kabisa. Hii ndio hali halisi, unajua why?
Magu wakati akifanya kampeni 2015 alituaminisha tumchague yeye kama yeye na sio yeye kama ccm kwa maana ccm iliwaghadhabisha wananchi.
Akaaminiwa kwa maneno yake, baada ya kuongoza mitano hii hali imekuwa tofauti na ahadi zake na hivyo watu kuona ni heri ccm kuliko mtu huyu
Yah, JPM aliomba kura 2015 kwa kujitenga kabisa na ccm kwamba chagua magufuli na siyo ccm kama ilivyozoeleka kwa maana ya kwamba yeye ni mabadiliko ambayo watu waliyataka. Lkn cha ajabu ameingia ameleta chuki ya kiitikadi, kidini, kikabila kila aina ya chuki miongoni mwa jamii moja. Kwa sasa tuko pamoja kwa sababu tu ya uvumilivu wa watz lakini tungeshakuwa tumevurugana sana. Tunataka siasa kama za Raila na kenyatta. Siasa ni tofauti ya kimtizamo, siyo vita na uadui alio tuletea JPM.
 
Hawa ukichunguza utagundua wengi wao ni wale waliokuwa wakienda mjini wanafanya ujanja ujanja ikifika jioni mifukoni imejaa pesa,kwahiyo awamu hii kwao ni mwiba...
Msalimie shemeji tako hapo nyumbani
Ni kichaa tuu anayeweza kubariki ufisadi.Hata hivyo Maendeleo yataletwa na kundi la wachache na wenye uzalendo madhubuti,Tulia Nchi tuijenge kwanza hayo ya ufisadi sio kipaumbele kwa sasa
Utakuwa unatoka kuphilwa lumumba, akili huna
 
Sa si Bora haijachimbwa haipotei IPO tu.
Sawa, lakini huu sio ule ulimwengu wa akina Nyerere wa kusema "iache tu ikae, haiozi"!

Huu ni ulimwengu ambao maendeleo ya teknolojia yanakuwa kwa kasi ya kutisha! Tunaona Tesla hivi sasa wanaongeza uzalishaji wa magari yasiyotumia mafuta!

Kwa miongo kadhaa hivi sasa tumezoea kuona Space Missions zikifanywa na serikali lakini unadhani Elon Musk ni mpumbavu kuwekeza billions kwenye Space X?! I don't think so, kwa sababu kama unaweza kuelewa anachokifanya kupitia Blue Origin; project ya Jeff Bezos... the richest man on earth kwa sasa!!

Jeff Bezos, under Blue Origin wanaamini kwenye sayari za mbali kuna raslimali za kumwaga huko, na hivyo haishangazi kuona wakiwekeza billions of USD ili kutafuta uwezekano wa kuzoa raslimali za huko!

It's a matter of time kabla ya kutokea kwa kile kinachoitwa mars colonization!

Hapo hapo, tusisahau miongo kadhaa iliyopita mkonge lilikuwa ni zao linalotuingizia fedha nyingi za kigeni; lakini wakati watu tunadhani mkonge ungeendelea kututoa maisha yetu yote, kumbe wengine walikuwa maabara kutafuta mbadala wa mkonge!!!

Hata hizo nchi za Kiarabu ambazo zilikuwa zinatamba sana kutokana na utajiri wao wa mafuta, hivi sasa utambaji wao umepungua kidogo, no wonder hivi sasa wanalazimika kufanya alternative investments!

Kwahiyo vile vile usishangae miongo kadhaa ijayo ukaja kusikia gas inazalishwa maabara!! Au ukaja kusikia imeundwa mitambo, including vyombo vya usafiri ambavyo nishati yake ni maji huku sie tukiwa tunaendelea kuikumbatia gas iliyo ardhini na kusema "no hurry, gas haiozi!"

Lakini hata yasipotokea hayo ya kufikirika, bado upo uwezekano wa gas nyingi na nyingi zaidi kugundulika sehemu zingine duniani na hivyo kuifanya bidhaa hiyo isiwe tena na ile thamani kubwa iliyonayo hivi sasa!

Na hapo pia tusisahau Mabwana Mkubwa hivi sasa wanapigia jalamba kule The Arctic ambako watalaamu wanaamini kuna zaidi ya barrel billioni 90 za mafuta na 44 za gas!
Ninachojaribu kusema ni kwamba
 
Mnashindwa kuelewa hii ni serikari ya ccm! Tunajenga na bwawa lililoasisiwa 1975. Hakuna jipya ndugu, swala ni kazi tu
Huu ukweli wananchi wanaujua kwa kiasi gani? Propaganda iliyopo ni ku
*Kuhusu Jakaya kikwete Jana MBAGALA*
kwa uchache

Jana nilimsikilza kwa makin sana Jk pale Mbagala Zakheim
Ameeleza yeye kuwa muasisi mkuu wa baaďhi ya taasisi ikiwemo REA(Rural energy agency)iliyoanzishwa kwa mujibu wa sheria ya bunge la jamhuri wa muungano wa Tanzania sheria ya 8 ya mwaka 2005. (act of parliment 8, 2005)
Chini ya wizara ya *Nishati na madini* wAziri kwa kipindi hicho alikuwa Dr.Ibrahim msabaha

ambapo kwa sasa wizara hizo zmekuwa separated ipo
Wizara ya Madini ambayo wazir wake ni DOTO BITEKO yule Mbunge wa Bukombe .

WIZARA ya NISHATI ambayo waziri wake n DR.MEDARD KALEMANI mbunge wa CHATO. Vyanzo vya kuaminika vinasema huyu kawa mwanasheria pale wizara ya Madini na nishati kwa miaka mingi sana hadi Kuwa wazir kamili hv karibun.

Alielezea waasisi wa network za barabara akiwemo Mzee mwinyi na utekelezaji wa Mkapa na yeye mwenyew miaka hio katika ile programe inayoitwa
I.R.P(intergrated roads programmes)kwani kipindi hicho kulikuwa na hali mbaya sana za barabara nchini kutokana na Hio(I.R.P) programme ikanza kufanyiwa utekelezaji kwa awamu zote za chama hichi cha upinzani Cha C.C.M

Kwa juu juu kweli alielezea juu ya watu kusema kuhusu kujenga kwao akahusisha Barabara ya Msata to bagamoyo na kusema hv vitu vpo kwa maslahi ya wote.

Alielezea yeye kuwa muasisi ktk utekelezaji wa shule nyngi za sekondari , barabara

*Kumbe yey ndio muasisi wa elimu bure bwana*

Pamoja na yote hakuzungumzia chochote kuhusiana na Umeme wa gesi ya mtwara *kunani kusini*?

*Nataka kusema nini*
Kimuktadha Mzee wetu huyu Mwenye hekima nyingi alitaka awajuze Rika zote wajue Wapi *tulipotoka ,tulipo na tuendako* kwa nia njema tu ili sote tutoke kwenye ile Jela ya kutojijua.

Kama nchi ni muhimu sana kuwa na first priorities ktk masuala yake .huku tukifungamanisha michango positive ya watu wengne hata kama mnatofautiana kiitikadi,kikanda,kidini etc.

Chama hichi cha upinzani cha C.C.M kimejisahau kuwa siasa n ushawishi !

Kule kusini inaonekana kumekaa vibaya sana kwa hichi chama cha upinzani Ccm. Nafkria agenda ya korosho,achana na hzo vurugu za huko kijij cha Nanyamba.

Moja ya kazi za Serikali n kuboresha watu na Miundombinu ndo maana hadi Leo nchi zilizoendelea zinajenga infrastructures .hvyo basi n kweli maendelo n watu na vitu ..yaan anaanza kuendelea mtu then ndo vitu. Eg mtu kapata mshahara then anajenga nyumba,anawekeza kwenye kilimo cha manufaa etc , *U got me!
Kuna watu ukiwasikiliza wanataka kutuaminisha kuwa serikali zilizopita azijawahi fanya chochote cha maana.

Vijana wengi siku hz hatuna tabia za kuchakura kutafuta Maarifa ya ukweli juu ya hii nchi tumebaki ushabiki tu .
Sawa hali n ngumu hata kama unapewa (Buku 5 na kofia,t-shirt za chama bure ) basi jaribu kujua japo ukweli tu .

*Pscychologically Fact*
Jana ukiwa unamtazama JK kikwete kwa utulivu unagundua kabisa,
He was at pains kumwongelea Magufuli, unamwona kabisa nafsi inamsuta,hajapoteza ushawishi but body language yake betraying him a lot .

Bado Sina uhakika na uhusika wake wa moja kwa moja katika MaJukwaa ya Kampeni za chama cha upinzani CCM mwaka huu .

*NB*
*MAENDELEO HAYANA VYAMA VS MSIPONICHAGULIA HAWA SIWAPI MAENDELEO*

Hebu njoon mnisaidie kushangaa juu ya huo Msemo hapo Juu
Mkuu, asante kwa ufafanuzi. Kuna wasanii wako kwenye kampeni wanapotosha mengi. Sijajua wamelishwa nini, utsikia wakisema hata mabasi ya mwendo kasi yamekuwepo kwa sababu ya wamu hii. Yawezekana hizi nyimbo zao za kudanganyia mapenzi wanazitafsiri katika kudanganyia siasa which is too bad!
 
Hongera sana Mh. Dr. Kikwete kwa kuweka wazi mambo haya japo hukugusia Mradi Umeme wa Gesi ya Mtwara kuwa uliishia wapi.

Naamini iko siku utaweka wazi tujue kwani tulishaamini tungepata umeme wa nafuu kuliko ilivyo sasa.
Hapo kwenye gesi (Tanzania ya gesi) asigusie kabisaa,maana atapunguza kura.
Watu wanataka Rais ambaye hata akipigwa risasi hafi
 
Huu ukweli wananchi wanaujua kwa kiasi gani? Propaganda iliyopo ni ku

Mkuu, asante kwa ufafanuzi. Kuna wasanii wako kwenye kampeni wanapotosha mengi. Sijajua wamelishwa nini, utsikia wakisema hata mabasi ya mwendo kasi yamekuwepo kwa sababu ya wamu hii. Yawezekana hizi nyimbo zao za kudanganyia mapenzi wanazitafsiri katika kudanganyia siasa which is too bad!
Vijana wanasikitisha sana kisa buku 5 ..wanafikiri haya masuala hayawahusu wajiulize kwenye ile one 1.5trilion iliyoibwa kizembe ingejenga shule ngapi ,miradi ya maji je ,vp umeme ..hopeless ! Linakuja nyenyenye Barabara ukiliuliza halijui kitu ikimuambia juu ya I.R.P (Integrate roads programmes)
Litatoka nduki kazi kusema nyie wapinzani mnapinga kila kitu
 
Jomba usisikilize uongo wa Magufuli... nakuhakikishia HAKUNA gesi iliyouzwa!!! Kwa mfano wengine wanasema kawauzia Wachina! Think yourself... makampuni yaliyokuwa yanayotafuta gesi ni pamoja na Total, BP, Exxon , na Petrobras! Na hawa wametumia billions of TZS kufanya gas exploration.

Now tell me... ni kampuni gani ingekuwa tayari kutumia billions of TZS halafu gesi waliyoigundua apewe Mchina?!

Juzi juzi tu hapa nilikuwa na mwana mmoja ambae kampuni yao imetumia au ipo mbioni kutumia zaidi ya TZS Trilion tatu kufanya uwekezaji pale Lindi jirani na sehemu itakojengwa gas processing plant, na wameshatumia billions of TZS kulipia maeneo!

Hata hivyo, bado wanarudishwa nyuma na serikali!!

Huku kusua sua kunatokana na Magu... kama alivyofanya kwenye mradi wa Bandari ya Bagamoyo hadi Wachina walipokosa uvumilivu na kuongea hadharani kwamba yanayosemwa na serikali na mawakala wao kuhusu Bandari ya Bagamoyo ni uongo!!

Ni baada ya huko kusua sua ndipo ile consortium iliyokuwa imepanga kuwekeza USD 30 Billion kwenye gas processing plant, wakaamua kufungasha virago na kwenda zao Msumbuji ambako wamewekeza kwenye 2 plants worth USD 60 Billions!!

And am telling you, ile gas ingekuwa imegundulika Chato, hivi sasa ingekuwa inachimbwa na wala hizi porojo kwamba gesi wameuziwa Wachina wala usingezisikia!

Narudia.... GAS HAIJAUZWA na HAIJACHIMBWA hata tone!!!!
Makampuni machache yaliyobakia yanayochimba gas kwanza yamestopisha hata uwekezaji kwakuwa serikali wanasema wanapitia upya mikataba. Hata expansion hawafanyi na pesa haziji tena!

Sasa jamani sisi tupo serious kweli?

Ukiongea na haya makampuni utagundua kuwa hatupo serious kabisa sisi watanzania. Ni nani ataleta pesa zake kufanya exploration halafu nyie mje na sheria zenu na kanuni zenu za kubadika. Hatujui wakimaliza ku review watakuja na lipi jipya labda ndio mambo ya kwabana zaidi wawekezaji. Haya makampuni yapo listed huko kwenye nchi zao watu wanaangalia hisa zao! Lets get serious kidogo.
 
Makampuni machache yaliyobakia yanayochimba gas kwanza yamestopisha hata uwekezaji kwakuwa serikali wanasema wanapitia upya mikataba. Hata expansion hawafanyi na pesa haziji tena!

Sasa jamani sisi tupo serious kweli?

Ukiongea na haya makampuni utagundua kuwa hatupo serious kabisa sisi watanzania. Ni nani ataleta pesa zake kufanya exploration halafu nyie mje na sheria zenu na kanuni zenu za kubadika. Hatujui wakimaliza ku review watakuja na lipi jipya labda ndio mambo ya kwabana zaidi wawekezaji. Haya makampuni yapo listed huko kwenye nchi zao watu wanaangalia hisa
 
Back
Top Bottom